Nawachukia wanaume

Pole sana dada,kumgundua huyo mwanaume,ni MUNGU anakuonyesha kuwa hilo ni chaguo lako nakwakuwa ni chaguo lako,wewe hukuona ndani wakati ukichagua,sasa mshukuru yeye aonae ndani,subiri bila kuwa na mpenzi mwingine,muombe sasa akuchagulie yeye,utashangaa utapata mtu atakae kuwa nawe kwa uaminifu,na siku moja huyo aliekufanyia vituko atajuta
 

Ni kweli shemeji ila wanawake wakiishiwa na uvumilivu ndio inakuwa hatari mno, ndio maana nasema kwamba girlz they need to do soo ku rescue mambo....la sivyo.. mambo yataharibika
 
Subiri akija umueleze mwenyewe, mie kazi yangu imeisha, na si unajua mie ni marufuku kuniita kwenye vikao vyenu vya usuluhishi? Mie mnipege taarifa tu.

Teh teh...sawa...
 
Mungu mkubwa, tatizo la ndakushima Inaelekea kutatuliwa kati ya hizi njemba mbili The Boss na Mentor
 

= baadhi
= hawaridhiki

Huyo mwananamme unaeongolea hapa ni mumeo au hawara tu?

Kama ni hawara tu, jiulize wewe ulimpataje wenzako washindwe?

Kama ni mumeo basi nnashaka hujachezwa, ukichezwa hafurukuti.

Baki njia kuu!
 

Oky thank
 

Thank you myner for this nice one
 
According to maelezo yake, hata kama ana mapungufu yake ( no one is perfect), she seems to be a good girl

Yaaah sure heaven haujakosea kuna wanaume jmn hawabebeki..jitu unaliheshimu,unafanya vyoote vya duniani alfu kumbe nguv ulizo kuwa unatumia ni kwa mtu hajui mbele bt thanks God for everything
 
Ni kweli shemeji ila wanawake wakiishiwa na uvumilivu ndio inakuwa hatari mno, ndio maana nasema kwamba girlz they need to do soo ku rescue mambo....la sivyo.. mambo yataharibika

Kwahiyo mmejiandaa kabisaaaa kufanya ufirauni wenu mkijua tutawavumilia? Siku hizi hatuvumilii ujinga wa makusudi huo.
 
Ujinga ni Pale Unapoumizwa na Mmoja kisha kutuchanganya Wanaume wote... Hivi Umeshawahi kuambiwa wanaume wote tupo sawa Kimawazo, kimatendo na Kifkra? kuwaingiza wanaume wote kwenye kosa lililofanywa na Mwanaume mmoja nikutukosea Heshima.

Kam umesoma vizur nmesema baadhi bt among of the ni wale wale ni mia kwa mmoja
 
Pole bola uje kwangu mm nmeokoka hta kutongoza n shida hpa nazani mungu ametukutanisha.
 
Heeee
!! Aujakutana Na Wako Bado.
 
pole dada ila jua hata maandko yanasema kila jarbu litapta hvyo muombe mungu na uskmbilie kumuacha muombee xana na mungu atajbu

Amina kam kuomba naomba sanaa hata leo nmetoka kusali novena bt all in all my be ni hasira bt only god knows
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…