Nawachukia wanaume

Nawachukia wanaume

hongera wew unaejitambua ila naamini unasema hujui unachokisema mwinzio akinyolewa tia maji pia nahis bado mtot haujajua nni maan ya mapenz au nini maan ya ndoa

haha ok nimekupata hiyo level umeipita so umeathirika kweli akili...nakushauri utulie tgere is no way to recover by thinking...just accept n heal...ila bado ntasema mi si mtoto ni mkubwa sana na pia ukweli unabaki hata ukichukia utajimaliza ki ndanindani....wappo wabaya wapo wazuri so control yourself kiasi jitahidi tuu sawa mdada pole sana lakini naamini jf hukosi kitu atleast
 
Teh fanya basi kunilipa kwa gazeti langu.

There is absolutely no justification for cheating on someone . Mkeo akikosea/ kujisahau ndo ukacheat? Muwe na hofu ya Mungu, punguzeni tamaa za ngono na kuwe na mawasiliano kati wa wanandoa inapotokea tu kuna kitu hakijakaa sawa
Shem kwanza Nikuhakikishie Kitu kimoja ambacho labda bado hujakijua.. Mimi ni muislam safi ninaye Amini, kuheshimu na kufuata matendo yote mema likiwemo Hilo la Hofu ya Mungu. Kwahiyo Kuhusu Hilo nakuomba Utoe Shaka.

Pili lazima tukubali kuwa mahusiano ya kimapenzi na hata kindoa hugubikwa na mitafaruku na migongano isiyo na mwisho. Unapoamua kwa Moyo Wako kuwa unahitaji au Unaingia katika mahusiano ni kwamba yule Unayeingia naye kwenye ndoa ni kwamba Umempenda na Kumchagua Yeye Katika Wote uliyowahi kukutana nao.

Pia Umeangalia na kuchunguza kuwa huyu ni Mke au Mume bora na katika kuchunguza hivyo vitu ni kwamba umejaribu Kushirikisha Akili na Moyo wako katika kufanya Maamuzi ambayo Kwako Uliamini kuwa ni maamuzi sahihi.

Ikiwa ni Hivyo na Wote mkakubaliana Hapa sioni Sababu ya mume kucheat au mke kusaliti katika ndoa kwa kuwa wakati wakufanya Chaguo Wote mliridhiana kuwa mko tayari katika Hilo. Kwahiyo kama mmoja atakuwa msaliti basi huhesabiwa ni tamaa au wakati wa ndoa na muhusiano mmoja hakuvutiwa na mwingine isipokuwa alipenda sababu labda ya tamaa au kwasababu ya Pesa (kama wengine wanavyoshadadia)

Kuhusu kuwahisisha kwangu wanawake na Usaliti, pointi yangu ni kwamba Wanawake wengi wanapoolewa Huwa Wanajisahau na kusahau majukumu Yao kama wamama wa nyumbani na hata kile ambacho kiliongeza kachumbali mpaka kusababisha mwanaume kutangaza ndoa nacho kinaachwa kwa kuwa tayari yupo ndani ya ndoa.Siku zote mwanamke lazima atambue na kuelewa kuwa ndani Ya ndoa ndio kunahitaji ubunifu na Upya, ukiwa mbunifu na mpya kwenye ndoa kila siku itaongeza mahaba na mapenzi kwa mumeo na Kumfanya Akuwaze kila Wakati.

Na kingine ni lazima uwe na Kauli njema na Heshima kwa mumeo.. Usipojirekebisha Utaachwa na Kusalitiwa kila siku. Mume Anahitaji kubembelezwa sio kultewa kisirani.

NB HATA WEWE USIPOKUWA MBUNIFU UTAACHWA TU KWAHIYO UMAKINI UNAHITAJIKA KATIKA KUILINDA NDOA NA MAHUSIANO YAKO.
 
Dada nimwambie kitu ambacho wanawake wengi hawakijui ni kwamba wanawake ni Maua ni burudani ya wanaume, wanaume nature yao sio kupenda nikutamani sasa akishakutamani ukishampa tunda namkaelewana mkaendelea na mahusiano usidhani ndio kakupenda nikwamba kakuheshimu tuu, sasa wengi hiyo heshima ndio wanazani wameshapendwa hajuagi kupenda hao majamaa nikodolea macho tuu wanawake nakutamani ndio maisha yao yalivyo, usiwaamini kiivyo asee utalia mpaka update bp, Mimi namshukuru Mungu nilishatokaga kwenye ulimwrngu wa mapenzi maana tpuuuu sitamani
 
Angalia unakosea WAP kwenye mahusiano na ujirekebishe kuwa faithful tu haisaidii mama manjonjo yanahitajika. ................mi sheria yangu ni moja tu kamwe siachi kupenda tena hata nikiumizwa Mara ngap cos kuna wanaume wanajielewa tu cha muhim naangalia nilipokosea and life goes on .goodluck
 
Usipime wanaume ni viumbe wasio na huruma hata kidogo. Hodari wa kuharibu maisha yetu.Tunazidi kuwaombea Mungu awafungue kutoka kwenye kifungo. Tumeumizwa wengi!
 
Inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye simu yako lakini unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii.

Jamani kuna wakati wanatulaum wanawake lakini jamani kuna wanaume vimeo sijawahi kuona duuh!

MM ninakamsemo kangu "men were born to cheat" ata ungempa nn bado lazma atacheat,,kama unapata mahitaj yote kimaisha na kimwil kaa utulie unless utakua unataka kukausha bahari kwa mdomo
 
Inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye simu yako lakini unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii.

Jamani kuna wakati wanatulaum wanawake lakini jamani kuna wanaume vimeo sijawahi kuona duuh!

Hebu jichunguze labda kuna kitu anakosa kutoka kwako,na kwa zama hizi hasa hasa itakuwa ni makalio,kama huwa hakuchokonoi makalioni baas
hilo litakuwa ndio tatizo:smokin:
 
Inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye simu yako lakini unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii.

Jamani kuna wakati wanatulaum wanawake lakini jamani kuna wanaume vimeo sijawahi kuona duuh!

Men are from the Mars
Women are from the Venus
WAKO TOFAUTI SANA
Wavumilie tu
 
kwani huyo mwanaume wako anachepuka na paka? si anachepuka na mwanamke mwenzio sasa maumivu ya nini kumbe nimeamini wanawake hampendani! halafu siku nyingine usiandike unachukia wanaume we sema unamchukia huyo mwanaume wako coz we are billions
 
Dada yangu, pengine uliharakisha mahusiano kwani inaonekana hakuna mapenzi ya dhati kati yenu.
Kwa upande mwingine, kwa miaka hii mapenzi ya dhati kati wapendanao ni ngumu kuyapata kwani wakati midume inatolewa udenda na figure za wasichana wa leo na wasichana nao wanatolewa udenda na ukwasi wa uwezo wa midume.
Hivi sasa ni vigumu kwa mwanamke kumpenda mwanamume asiye na kitu kama vile kwa wanaume ni vigumu kumpenda mwanamke asiye vutia.
Unapaswa kufahamu kuwa vyote hivyo siyo mapenzi.
 
Back
Top Bottom