inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
According to maelezo yake, hata kama ana mapungufu yake ( no one is perfect), she seems to be a good girlje yeye ni mrs right?
naah thank you aisee siwatakii kwakwelii
Ukiwapenda watakukaa akilini, ukiwachukia watakukaa akilini pia. Ukishindwa kuwapenda basi waignore tu then be happy na maisha yako. Afu ipo siku utampata "Mr right" wako na utasahau machungu yote. Ubaya wa huyo aliyekutenda usikubadili ukawa bad girl, wala usichukulie kuwa wanaume wote hawafai. Just keep on being a good girl.
Sisi waafrika Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema katika mahaba alitupa upendeleo. Paja la binti/dada/mama wa kiafrika linatia wazimu "wanaume" kuliko hata mgao wa umeme. Ndio maana Bibi zetu waliwatafutia waume zao mpango wa kando kwa kujui mwanaume wa kiafrika hawezi kutulia na mtu mmoja.
Kingine kinahamasisha haya ni uvivu, jamii imejikuta ni ya watu wavivu wenye kupenda kula vizuri. Matokeo yake ndio hayo unayolalamikia.
Ushauri wangu tafuta mjapani ili usiumizwe. Soma kitabu kinachoitwa "BIKIRA YANGU"
Pole sana. Lakini huyo wako asikufanye utchukie wote. Good men tupo play your cards right lady.
Kwa maoni zaid ni pm,mimi ni kimbilio la wanyonge
inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
Kosa la hawa wenzetu Wanajua chanzo cha mwanaume kucheat ni Kutomuheshimu, Hawajui yapo mengi sana ambayo husababisha mwanaume Akusakiti. Kuamini kuwa kumuheshimu mwanaume ndio njia ya Kumfanya Asikusaliti ni Ujinga. Kuna Vingi Mwanaume Anapenda Sio Hayo tukaku cheat sawa but sababu ya ku cheat ni nini? unaweza ukawa haujamcheat ka ulivosema lakini kuna mambo mengine behind ya cheating na betraying,, afu izo tabia za kulilia mapenzi ni za kitoto kabisa huwezi sema unawachukia wanaume kisa uyo bwana ako ka ku cheat, afu ni bora pengo kuliko jino bovu, kucheat na kusepa kwake inaweza kua njia ya wewe kupata mwingine much better than him
"when one door closed another door opened- bob marley
inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh