Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
Una chura?
hapana haisee sijapafanyia fair nilikuwa na kataa aiseee kuny kul🤮🤮🤮🤮Haya yote unatusimulia baada ya kuachwa, zama zile mapenzi moto moto huko kunakonuka na kutonyolewa ulikuwa ukikunyonya na kukulambalamba
Una chura?
Mbona kwenye kuchepuka hamtakagi nguvu za ushawishi ila kwenye uchafu ndo mnazitaka?Ulishindwaje kumbadilisha boyfriend wako?
Tunaamini ke ana nguvu ya ushawishi!
Umeona hilo kojo la wema? Mimi Nina miaka 13Kumbe hujui na tokea 21 mpaka nao nina wanaume 21,645,2345
Mpaka sasa na 26 je wewe
Mwanaume pesa mwanamke uremboJamani kuna wanaume wachafu sana .
Nakumbuka nilikuwa na boyfriend wangu mmoja hivi.
Huyo kaka ni mchafu kuanzia juu mpaka chini mpaka na geto aliloko.
A)boxer jamani ni chafu mpaka basi hanyoi kabisa huko yaani mpaka akiivua inatoa vumbi.
Sasa inanuka mpaka aa huitaji kuinusa akikaa hivi kama harufu ya pilau la nyama linaloiva .
Inanuka sana .
Halafu fulana unakuta ni kanunua nyeupe ila imekuwa brown kwa uchafu.
B)VIATU
jamani wadau viatu ni vinanuka mpaka watu wakaribu wanamuhama .
Je hizo soksi akizivua jamani utaomba ufe kwanza ndio ukae hapo karibu yake.
C)nyumba niliendaga kwake hata dirisha hafungui kuna uvundo wa hatari ukikaa kwenye kochi au ukikaa kwenyw kitanda ni vumbi yaani ukifunua shuka na godoro ni jeusi yaani kama mkaa.
Maforonya ni meusi katupa vitu vinanata jamani huu ni uchafu eti.
Wanaume jamani wenye hizi tabia sio nzuri maana mwenzenu tulimlewwaha ndio akasafishwa huko pakae vyema nihistoria jamani kuwa mchafu nayo ni kipaji.
Mwanaume usafiMwanaume pesa mwanamke urembo
Ndiyo hakuna apendaye uchafu ila kumbuka pamoja na kutoupenda wapo wachafu
Hakuna binadamu anaependa uchafu
Nyenyere alisema huwezi kumbadilisha mtu tabia yake.Mbona kwenye kuchepuka hamtakagi nguvu za ushawishi ila kwenye uchafu ndo mnazitaka?
Ukimukuta muchafu mfulie na safisha ndaniMwanaume usafi
WajirekebisheNdiyo hakuna apendaye uchafu ila kumbuka pamoja na kutoupenda wapo wachafu
Wajirekebishe