Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,619
....Na vitabu vyao vina "makava" meusi ila mwanangu jaribu kufunua usome, karatasi zao ni nyekunduuuu....hadi raha kusoma vitabu vyao!!!
Kweli umenena; pia vya motoooooooooooooooo
....Na vitabu vyao vina "makava" meusi ila mwanangu jaribu kufunua usome, karatasi zao ni nyekunduuuu....hadi raha kusoma vitabu vyao!!!
umerudi mwenyewe
si ulikua unawaponda malaika wangu weusikutoka wapi ??? ......... nipo muda mrefu hapa
Una maana wanawake wa kiafrika weupe ni wa baridi?wakuu mimi napenda sana wadada weusi yaan nikiwaona huwa nachanganyikiwa na sababu zinazonichanganya ni
1.ni wa mooooto
2.rangi yao hainunuliwi dukani kama weupe
3.hachakai haraka
4.halafu akiwa na kibesi au sauti nzito kidogo ananiua kabisa
kwa ujmla wadada wa aina hii huwa nawapa kipaumbele sana machoni pangu au mnasemaje?
always black is beautyyyyyyyyy......................................
kibezi tena loh!!!!!!!
Una maana wanawake wa kiafrika weupe ni wa baridi?
wachache sanaWengine wanapenda weupe!!!!!!
Weusi kama wa Lupita Nyong'o
hapo burudan kabisa
hebu weka na michel obamaCINDY
![]()
Ameeeeeeen mtumishihaleluyaaaaaaaaaaaa
hapo sipo
si ulikua unawaponda malaika wangu weusi
kama unapata raha amuna shida