daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
kwani hujaonaga wenye sauti nyororo wakifika hapo sauti zinakuwa nzito wakati wenye nzito wakifikia hapo zinakuwa sauti za kwanza kama celine dionpata picha mpo old trafford hivi unaweza kuimagine analalamika vipi akikaribia kufunga goli ikiwa sauti yake nzito??