kiraza
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 403
- 581
- Thread starter
- #41
Mtu anaetaka kununua hii hawezi kuja hapa atakuja inbox na kuniomba nimtumie data
Bro inakera raia wanakuja hapa ukiwauliza hata cpm, au rpm ni nini hawajui! Cha ajabu nao wanakuja hapa kutoa maoni mbalimbali ili hali hawajui hata hizo accont zinavyooperateKashakimbia..
Kiufupi kala chochoro na hapa nakuomba radhi mkuu baada ya ushaidi wote ule naomba nisamehe kama nimeonge lugha chafu yoyote huko.juu