Nauza Youtube Channel imeshanilipa mil 1.7

Nauza Youtube Channel imeshanilipa mil 1.7

Nilitaka nielewe ndo lengo langu
Kwa maongezi hlyako haya unaonekana hujui chochote katika youtube, ujumbe huu akiuona mtu anaejua youtube hawezi kuniuliza milele ataniuliza mambo nitakayojua hapa naongea na mteja, wewe kuna chance ya 99.9999 ni msumbufu tu hapa na mbabaishaji
 
Mimi naku tetea wewe una sema naleta ujinga, haya leta data ya hiyo account hapa iki onyesha malipo ya 1.7 per month.

Mimi nita nunua hapa hapa.
Screenshot_20250521_205638_YT Studio.jpg

Haya nunua hapa tuone! Nyau ww, WAtakuja watu wanaotaka kununua kwa sababu ya watu kama wewe wanaona mimi mwizi acha utoto na ushamba.
 
View attachment 3341368
Haya nunua hapa tuone! Kama hujui lolote kuhusu jambo acha kuingilia na kuanza kutoa maoni ambayoanaejua mambo hayo aataona wewe ni mwehu. WAtakuja watu wanaotaka kununua hapa kwa sababu ya watu kama wewe wanaona mimi mwizi acha utoto
Daaah kweli bana yaani ni milion.4 hyo mkuu
 
View attachment 3341368
Haya nunua hapa tuone! Kama hujui lolote kuhusu jambo acha kuingilia na kuanza kutoa maoni ambayoanaejua mambo hayo aataona wewe ni mwehu. WAtakuja watu wanaotaka kununua hapa kwa sababu ya watu kama wewe wanaona mimi mwizi acha utoto
vipi nikupe hiyo 450k then uendelee kufanya kazi kupitia hio YouTube channel....tusaini contract kwa mwezi uwe unanitumia 150k kwa miezi 7 account iendelee kuwa yako??
 
Account ina taarifa zako.

Inakuwaje sasa kwenye umiliki na kutoa mpunga ?
 
Hakuna client hapo ni mchafu kazi za watu
Kashakimbia..
Kiufupi kala chochoro na hapa nakuomba radhi mkuu baada ya ushaidi wote ule naomba nisamehe kama nimeonge lugha chafu yoyote huko.juu
 
Back
Top Bottom