kiraza
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 385
- 541
Hello wakuu nauza youtube chanel imeshanilipa kipindi cha nyuma mil 1.7 ina monetization na subscribers zaid ya 11,000. Hivyo ukiinunua kuanza kuweka content na account yako ya bank na kuanza kulipwa mwezi unaofuata, bei yake ni laki 5 tu. Nicheki DM
***************
Duh nimeona niongeze data hapa Raia wanavamia uzi wakiwa wanashangaa mimi kuuza kwa hiyo bei. Kifupi nimekuwa na Channel nyingi hivyo nashindwa tena kupata muda wa kufanya kwa channels zote hivyo nimeamua nipunguze nyingine. Usicoment hapa kama hujui kitu kuhusu
Youtube Partner Program. Nadhani kwa youtubers wenzangu tutaongea Lugha moja na hakutakuwa na shida.
***************
Duh nimeona niongeze data hapa Raia wanavamia uzi wakiwa wanashangaa mimi kuuza kwa hiyo bei. Kifupi nimekuwa na Channel nyingi hivyo nashindwa tena kupata muda wa kufanya kwa channels zote hivyo nimeamua nipunguze nyingine. Usicoment hapa kama hujui kitu kuhusu
Youtube Partner Program. Nadhani kwa youtubers wenzangu tutaongea Lugha moja na hakutakuwa na shida.