Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 886
- 1,011
Mfuga Kuku, Mbuzi, Ng'ombe etc atataka Kuku wake Wazaliane sana ili apate Kuku wengi zaidi apate faida, why Samaki inakua ni vibaya wakzialiana kwa wingi??Karibu sana.utapata sato.jinsia wanabadilishwa ili wakue haraka na wasizaliane kwenye bwawa.wote wanakua madume.maana sato wanazaliana sana.Kambale kuzaliana hadi mtoni kwa hiyo ukiitaji kumzalisha kitaalamu ndo unaingia mahabara.uko ndo gharama nyingi nyingi