Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Mkuu nahitaji kuanza kufuga kambale, mbegu unayo? Naomba tuwasiliane tafadhali
 
Asanteni baadhi ya watu umu kwa kuniungisha,bado Vifaranga vipo
 
Nataka vifaranga
Nauza Vifaranga vya Samaki ,sato mono sex na mixed,mono 350 kimoja,mix 150.pia Kambale vipo, vya Kambale 400 kwa kimoja
Vifaranga wana muda wa mwenzi mmoja.
Vinapatikana pwani-kibaha,mikoa mingine vinasafirishwa pia
Kwa mawasiliano zaidi pm
 
Bado viko vya kutosha,asanteni wadau mbali mbali toka Jf kwa kununua
 
habari wakuu,kwa wateja wangu na wateja wapya nimeanza kuvuna tena sato wakubwa bei.7000 kwa kilo,vifaranga sato kimoja 200,kambale kimoja 400
mahali:dar
mawasiliano zaidi karibuni pm
 
Nikitaka kufuga kwa ajili ya chakula cha nyumbani tu unanishauri niwe na bwawa la ukubwa gani na sex gan? Emu npe mchanganuo yaani nataka samaki nisinunue kabsa niwe nikihitaji navua nakula
Apo utaitaji kuweka mixed sex,ili wakiwa wanazaliana na wengine unaendelea kula,kwa hiyo muda wote haukosi mboga,ukubwa inategemea ,ata la mita tano kwa 10 sio mbaya,inategemea pia na aina ya bwawa unaloitaji.
 
Back
Top Bottom