Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Hivi kumbe na watoto wa samaki nao wanaitwa vifaranga? Duh!!
Nafikiri wanaitwa viluilui ndiyo. Sahihi
Ila hizi bei bana mnazikuza saa zingine,
Yaani Samaki mchanga alievuliwa tu unamuuza Tshs 500 wakati ferry hiyo Tshs 500 unapata samaki alievuliwa na Mvuvi akauzwa kwa Mchuuzi ambae nae akamsafisha na kumkaanga.....!!!!!!
Punguzeni bei jamani, bei ya kifaranga ilitakiwa kua hata Tshs 100/=
 
Kambale ana shombo kal sana bt mkuu mbegu ya sangala iv ipo
 
Nauza Kambale wenye uzito kuanzia kg moja mpaka kg mbili.bei kwa jumla 5000 kwa kg.napatikana kibaha.mawasiliano zaidi pm ntakupatia namba.karibuni
 
Nauza Kambale wenye uzito kuanzia kg moja mpaka kg mbili.bei kwa jumla 5000 kwa kg.napatikana kibaha.mawasiliano zaidi pm ntakupatia namba.karibuni
Ndugu unalenga kufanya biashara kweli? Weka taarifa zote zinazotakiwa kwenye tangazo ikiwemo namba ya simu au wewe unafikiri ukishaweka bei umemaliza?
 
Back
Top Bottom