Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Nauza Vifaranga vya sato na Kambale.
Dar es salaam
Ntakufikishia popote ulipo
Bei sato 250 Kambale 500
Kwa mawasiliano zaidi pm
 
Nauza Vifaranga vya sato na Kambale.
Dar es salaam
Ntakufikishia popote ulipo
Bei sato 250 Kambale 500
Kwa mawasiliano zaidi pm
 
Nauza Vifaranga vya sato na Kambale.
Dar es salaam
Ntakufikishia popote ulipo
Bei sato 250 Kambale 500
Kwa mawasiliano zaidi pm
 
Nauza Vifaranga vya sato na Kambale.
Dar es salaam
Ntakufikishia popote ulipo
Bei sato 250 Kambale 500
Kwa mawasiliano zaidi pm
Ila hizi bei bana mnazikuza saa zingine,
Yaani Samaki mchanga alievuliwa tu unamuuza Tshs 500 wakati ferry hiyo Tshs 500 unapata samaki alievuliwa na Mvuvi akauzwa kwa Mchuuzi ambae nae akamsafisha na kumkaanga.....!!!!!!
Punguzeni bei jamani, bei ya kifaranga ilitakiwa kua hata Tshs 100/=
 
Ila hizi bei bana mnazikuza saa zingine,
Yaani Samaki mchanga alievuliwa tu unamuuza Tshs 500 wakati ferry hiyo Tshs 500 unapata samaki alievuliwa na Mvuvi akauzwa kwa Mchuuzi ambae nae akamsafisha na kumkaanga.....!!!!!!
Punguzeni bei jamani, bei ya kifaranga ilitakiwa kua hata Tshs 100/=
ahahaaa kweli una point mkuu
 
Ila hizi bei bana mnazikuza saa zingine,
Yaani Samaki mchanga alievuliwa tu unamuuza Tshs 500 wakati ferry hiyo Tshs 500 unapata samaki alievuliwa na Mvuvi akauzwa kwa Mchuuzi ambae nae akamsafisha na kumkaanga.....!!!!!!


Punguzeni bei jamani, bei ya kifaranga ilitakiwa kua hata Tshs 100/=
usiongee usivyo vijua.uliza kama haujui kwa nn anauzwa bei hizo.kwanza unajua bei ya Samaki kilo moja?unajua gharama za kumzalisha Kambale?.unajua gharama za homoni kuwabadilisha jinsia?unajua kwamba Kambale hazaliani bwawani?haujapiga gharama za chakula.haujapiga gharama ya maji.unaongea tu wewe
 
usiongee usivyo vijua.uliza kama haujui kwa nn anauzwa bei hizo.kwanza unajua bei ya Samaki kilo moja?unajua gharama za kumzalisha Kambale?.unajua gharama za homoni kuwabadilisha jinsia?unajua kwamba Kambale hazaliani bwawani?haujapiga gharama za chakula.haujapiga gharama ya maji.unaongea tu wewe
kwanini mnawabadili jinsia mkuu? ila kambale simpendi ana sura mbaya sana
 
usiongee usivyo vijua.uliza kama haujui kwa nn anauzwa bei hizo.kwanza unajua bei ya Samaki kilo moja?unajua gharama za kumzalisha Kambale?.unajua gharama za homoni kuwabadilisha jinsia?unajua kwamba Kambale hazaliani bwawani?haujapiga gharama za chakula.haujapiga gharama ya maji.unaongea tu wewe
Mfanyabiashara hujibu kwa weledi na ushawishi, kwa majibu ya kibabe kama haya unakosa mvuto ndg.
Convincing power ni muhimu mkuu
 
Karibu sana.utapata sato.jinsia wanabadilishwa ili wakue haraka na wasizaliane kwenye bwawa.wote wanakua madume.maana sato wanazaliana sana.Kambale kuzaliana hadi mtoni kwa hiyo ukiitaji kumzalisha kitaalamu ndo unaingia mahabara.uko ndo gharama nyingi nyingi
 
Back
Top Bottom