Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Nauza vifaranga vya Samaki(fish fingerlings)

Ndugu unalenga kufanya biashara kweli? Weka taarifa zote zinazotakiwa kwenye tangazo ikiwemo namba ya simu au wewe unafikiri ukishaweka bei umemaliza?
Namba ya simu sio ya kuanika public maana sina ya ofisi ndo maana nikasema mwenye nia akinipm ntampatia mkuu
 
Halafu hao kambale hawapendi kuishi kwenye maji masafi, wanapenda kwenye matope matope halafu angalau kuwe na "uchafu uchafu" ndio wanaenjoy, hahahahahahahah
Hawa nawafugia kwenye bw
Halafu hao kambale hawapendi kuishi kwenye maji masafi, wanapenda kwenye matope matope halafu angalau kuwe na "uchafu uchafu" ndio wanaenjoy, hahahahahahahah
bwawa la kisasa maji masafi kabisa .unakosa utamu aisee
 
Mbona unaogopa kuweka namba mkuu? Wewe ni mzee wa matukio nini?
it's my privacy.nimeweka jina ambalo sio langu ili niwe huru zaidi.kuweka namba ya simu sasa itakua haina maana.unapoteza muda mwingi kwa yasikua na maana kama ni mnunuaji serious ungekuta umeshakuja pm.
 
Ulikua unafurahia mtelezo ule.anateleza mpaka kooni.niletee wateja wa mtaani kwenu.
haahaaahaa.weee..nlikkuwa nawavua wakiwa hai then nawaeka kwenye beseni.naanza kama ntaweza kukamata mkononi lakini wapi..wanavoniteleza na kuruka ndo furaha yangu..ikawa hobby.

nakushauri wavue uwakaushe ndo utauza kwa mda mrefu na bei kubwa hadi sokoni..
 
Back
Top Bottom