Tunauziwa watagaji mayai wastaafu tunaambiwa ni wa kienyeji
....
Asante mkuu kwakunisaidia pia nlijitahidi kukutafuta japo sikufanikiwa... naomba nije pm unisaidie kituJf kuna watu wana degree za ubishi
Kuku wa maeneo ya Manyoni wengi ndiyo mbegu ndogo
Ila Iramba Ndago huko kuna makuku makubwa ukienda mpaka ziwani kule kuna mpaka hayo mnaita kuchi
.
Halafu wanauza bei nzuri sana hasa kwenye minada
Tupunguze ujuaji jamani
Na kuku wa mayai hawana njano wanakuwa plain weupe
Hiyo imoooo Mkuu. Changa la macho kwa watagaji wastaafu lazima upigwe nalo.Tunauziwa watagaji mayai wastaafu tunaambiwa ni wa kienyeji
Asante mkuu kwakunisaidia pia nlijitahidi kukutafuta japo sikufanikiwa... naomba nije pm unisaidie kitu