Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 722
- 1,147
Hizi picha za hawa kuku si picha za chotara
Mkuu 20000 bei mno ningekutaka uwe unaleta hotelini lakini unabei kubwa za ajabu sana kuku tuliye mkaanga hapa mzima tunamuuza 22000Nmeandika 20000 hawa Ni kuku wakienyeji kutoka singida maji Mara moja kuku wenye Radha Tanzania nzima ukila hutojutia utamu wake mkuu
Duuu trey 15000 wanauza wenzako tena toka dodoma vijijiniMayai Trey waga nauza 18000
Mkuu kwa Dar unapatikana maeneo gani?Kuku bado wapo
Mayai ya kutotolesha inatakiwa kuku anayotaga yaan yahesabiwe kwa siku Aya yakuuza mm natumiwa pasikujua siku zake
Pole kwa kuumwa mafuaTanja bei