nkondola amon
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 365
- 65
Pole hakuwa wako huyo nenda katoe sadaka ya shukran!
Ndio nilitaraji hivi kuwa nitasahahu ila miaka hiyo ikapita. Namwomba sana Mungu hata kabla ya haya yote na sijaacha.
kwani wewe uko singular
tatiana?.. afu id yako inanikumbusha big brother enzi zile... tatiana na
richard fvcking..
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
hahahaaaa!! mi napenda zile scene muhimu muhimu tu yani... richard na tatiana walikuwa wananivutia sana enzi zao..!we mtu una fujo.. hahaaaaaa!
yani katika yote umekumbuka hilo neno la mwisho tu?
Pole...jaribu kubadili jinsi unavyoishi itakusaidia sana.
"uyo jamaa ako inaelekea uwezo wake wa akil na wakhpambanua mambo ni mdogo maana kuambiwa tuu kua wewe unatoka na mbaba flan sio kigezo cha kukuacha ila angetakiwa kufanya uchunguz yeye kama yeye na sio kuambiwa kwa hiyo hakufai atakuja kukupa shida huko mbeleni..pole sana kwa yaliyo kusibu mrembo..
cha muhim cool down kwanza maana inaelekea una speed saana ya kumaliza hili swala..
kikubwa tambua kwamba limeshatokea na kubaliana na matokeo..kama ameshafikia hatua ya kuoa jua kashagive up na wewe na hauna thaman tena maisha mwake..
pia waweza badilisha mfumo wa maisha na jiamin na kujiheahim maana wanaume wako weng huwez kukosa wa kukuoa kama una maadili mazuri..
pia iwe fundisho yaan ukiwa kweny deep relationship usikubal kujiingiza kweny mazingira ambayo mwenzio kwa namna yeyote atahis una mdanganya..
mwisho huyo jamaa ako inaelekea uwezo wake wa akil na wakhpambanua mambo ni mdogo maana kuambiwa tuu kua wewe unatoka na mbaba flan sio kigezo cha kukuacha ila angetakiwa kufanya uchunguz yeye kama yeye na sio kuambiwa kwa hiyo hakufai atakuja kukupa shida huko mbeleni..
asante.....
Pole sana jamani umeandika kwa uchungu sana.
Karibu chama la mabachelor.
Hivo vya kawaida sana within time mambo yatakua sawa.
"uyo jamaa ako inaelekea uwezo wake wa akil na wakhpambanua mambo ni mdogo maana kuambiwa tuu kua wewe unatoka na mbaba flan sio kigezo cha kukuacha ila angetakiwa kufanya uchunguz yeye kama yeye na sio kuambiwa kwa hiyo hakufai atakuja kukupa shida huko mbeleni..pole sana kwa yaliyo kusibu mrembo..
cha muhim cool down kwanza maana inaelekea una speed saana ya kumaliza hili swala..
kikubwa tambua kwamba limeshatokea na kubaliana na matokeo..kama ameshafikia hatua ya kuoa jua kashagive up na wewe na hauna thaman tena maisha mwake..
pia waweza badilisha mfumo wa maisha na jiamin na kujiheahim maana wanaume wako weng huwez kukosa wa kukuoa kama una maadili mazuri..
pia iwe fundisho yaan ukiwa kweny deep relationship usikubal kujiingiza kweny mazingira ambayo mwenzio kwa namna yeyote atahis una mdanganya..
mwisho huyo jamaa ako inaelekea uwezo wake wa akil na wakhpambanua mambo ni mdogo maana kuambiwa tuu kua wewe unatoka na mbaba flan sio kigezo cha kukuacha ila angetakiwa kufanya uchunguz yeye kama yeye na sio kuambiwa kwa hiyo hakufai atakuja kukupa shida huko mbeleni..
asante.....