Naumia sana; nifanyeje?

Naumia sana; nifanyeje?

Pole dear. Haya mambo yapo tu but you have to accept the reality and move on.
 
shukuru Mungu, amekuepushia kikombe cha mateso, utafurahi si muda mrefu, ni pm tuanzie hapo mpaka kwenye furaha kamili..
 
kwa hio anataka uende
danban.gif
kwenye harusi yake ama vipi?

please
nono.gif
go there, utaishia
crying.gif
huku wenzio waki
kiss.gif
!!!

kitendo cha
broken-heart.gif
wako, ni dhahiri kuwa alidhamiria kukuacha makusudi ili akaoe kwingine...

usishangae ukienda huko ukaishia
slapping.gif
......

We Mkali..
 
Watu wana bahati zao wallah! Yaani mwaka na nusu bado unamuombolezea yeye?! Kama ni mtoto si alishaanza vidudu na anajua kuhesabu na one to ten! Mweeh!
 
Pole dear. Haya mambo yapo tu but you have to accept the reality and move on.

kwani wewe uko singular tatiana?.. afu id yako inanikumbusha big brother enzi zile... tatiana na richard fvcking..
 
Nitakushauri nikipata muda, nadhani uliomba ushauri hukuomba kupewa pole...kama wengi wanavyofanya hapa! Niko kwa mobile nikitulia nitakushauri ufarijike ILA hakuna haja ya kutafuta "mfariji mtaabishaji" kwa sasa
 
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.

Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?

If you let past loves rule your future then you will never live anywhere but in the bubble made of the former pain and you will live there alone
 
If you let past loves rule your future then you will never live anywhere but in the bubble made of the former pain and you will live there alone

Hicho ndio nachokikwepa. Nataka niishi yangu. Naona imenichukua muda na sijui nifanyeje
 
kweli mwanamke akipenda anapenda vibaya, yaani mwaka na nusu bado ulikuwa unamngoja arudi, pole sana jaribu kukubali situation, tafuta mwingine.
 
Nitakushauri nikipata muda, nadhani uliomba ushauri hukuomba kupewa pole...kama wengi wanavyofanya hapa! Niko kwa mobile nikitulia nitakushauri ufarijike ILA hakuna haja ya kutafuta "mfariji mtaabishaji" kwa sasa

Kweli natafuta ushauri. Hizo pole marafikiri zangu walinipa sana. Nimezichoka. Nachotaka ni kutoka kwenye hii hali
 
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.

Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?

If you let past loves rule your future then you will never live anywhere but in the bubble made of the former pain and you will live there alone,Heartbreaks will last as long as you want and cut deep as you allow them to go; the challenge is not how to survive heartbreaks but to learn from them. Unaitaji ukaribu wangu,mi nshakumbana nazo 2 izo kesi na niko happy mpaka leo
 
Be strong bhana,yaache yapite,utampata wa ukweli vuta subira wangu....

Thanks. Ndio nilikuwa navuta subira kustuka miaka inaenda..am still in the past. I need to leave the past where it is...ila nikafikiri kuwa sinajia approach nzuri ndio maana mpaka leo nipo kule tu. Hizi njia za kidhungu wanazoandika mtandaoni naona hazijaapply kwangu
 
Wewe sio wa kwanza kupatwa na mambo kama hayo. Wapo walioachwa tena kwa kutukanwa na kudharauliwa, wapo walioondokewa na wapendwa wao na wakavumilia wakasahau. Chukulia hayo ni mapito na mitihan......
 
LOVE WITH A GAPE. Usilalie mlalo wa ukuta. Je mvua zikizidi si utaanguka na huo ukuta? Haya kaondoka, weye huli, hulali ati nimeachwa! We wa kwanza? Amka uangaze weye mwanamke. Hajaondoka na chako wala hakukuachia chake, shida iko wapi? Mjibu vizuri tu kuwa weye upo tu, ya kale hayanukii.
Mwambie bado moyo wako upo wazi kwake. Akijichokea huko aje tu ila akikuta mwingine kwako asiumie. Ngoma droo hiyo.
Nilimjibu ms yake nikampongeza na kumtakia kila lakheri. Pia nikamwambia sitoshiriki. Sikumtukana maana hata siwezi kutukana sina pa kuanzia. Ila siwezi shiriki kabisa harusi ya ex wangu.
 
Kila kitu kinatokea kwa makusudi, we tulia endelea kumwomba Mungu utamsahau na maisha yataenda

Ndio nilitaraji hivi kuwa nitasahahu ila miaka hiyo ikapita. Namwomba sana Mungu hata kabla ya haya yote na sijaacha.
 
pole my dear,kwanza jua wewe unathamani kubwa sanana you dont deserve him,japo hutaki kuambiwa yupo wa kwako lakini ukweli ndio huo kwamba huyo hakuwa wako na uamini hilo.....fanya sala sana na acha kuwa desperate of being married! kubali hilo lililotokea fanya yako kwa sababu maisha yanaendea
 
Back
Top Bottom