Habari za Jumapili ndugu zangu?
Ndugu zangu kuna jambo nilikua nalichukulia poa ila kwa sasa hivi linaninyima amani sana nakua na mood off saana.
Nilikua na gilrfriend wangu tukawa tumegombana baada ya yeye kunicheat sasa aliniomba sana msamaha sikumsamehe alinitumia message akaniambia naumwa naomba unisaidie hela sikumjibu akapiga simu sikupokea.
Akaniambia mbona nina moyo mgumu sana wa kutokusamehe? Akaniambia yeye ni mwanadamu anahitaji kusahemehewa nikawa nasoma sijibu akipiga sipokei.
Sasa wiki chache nyuma akanitumia message mimi naumwa sana naweza kufa ila usiache kuja kwenye msiba wangu sikujibu.
Dah, kumbe alikua anamaanisha bwana, Alhamisi asubuhi natumiwa message naambiwa amekufa. Dah, nilipata sana mshtuko.
Sasa wakuu hii hali inanitesa sana, najilaumu kwanini sikumsamehe. Nilienda kumzika na nimerudi home, sasa hii hali inanitesa sana sijui nifanyeje ndugu zangu ili nisahau.
Ndugu zangu kuna jambo nilikua nalichukulia poa ila kwa sasa hivi linaninyima amani sana nakua na mood off saana.
Nilikua na gilrfriend wangu tukawa tumegombana baada ya yeye kunicheat sasa aliniomba sana msamaha sikumsamehe alinitumia message akaniambia naumwa naomba unisaidie hela sikumjibu akapiga simu sikupokea.
Akaniambia mbona nina moyo mgumu sana wa kutokusamehe? Akaniambia yeye ni mwanadamu anahitaji kusahemehewa nikawa nasoma sijibu akipiga sipokei.
Sasa wiki chache nyuma akanitumia message mimi naumwa sana naweza kufa ila usiache kuja kwenye msiba wangu sikujibu.
Dah, kumbe alikua anamaanisha bwana, Alhamisi asubuhi natumiwa message naambiwa amekufa. Dah, nilipata sana mshtuko.
Sasa wakuu hii hali inanitesa sana, najilaumu kwanini sikumsamehe. Nilienda kumzika na nimerudi home, sasa hii hali inanitesa sana sijui nifanyeje ndugu zangu ili nisahau.