Jaribu kutafuta makosa yake; capitalize on them. Futa mazuri na good times mlizospend ili uweze mchukia. Mind you, kitendo cha kukuambia kuhusu ndoa yake; lengo lake ni kukuumiza na amefanikiwa maana unaumia.
So does he worthy ur cry?
hahahaaaa!! mi napenda zile scene muhimu muhimu tu yani... richard na tatiana walikuwa wananivutia sana enzi zao..!
mapenzi yao yalikuwa real, kama ni sex basi wana-fvck kweli kweli....
nina video yao moja matata sana kwene local disc d yangu... ! wanajua sana kuzungushana na kukata mauno kiukweli
itabidi unitumie kwa email hiyo kaka....
Nilimjibu ms yake nikampongeza na kumtakia kila lakheri. Pia nikamwambia sitoshiriki. Sikumtukana maana hata siwezi kutukana sina pa kuanzia. Ila siwezi shiriki kabisa harusi ya ex wangu.
Huwez kuamin nilipoona huu uzi chakwanza nikakukumbua wewe na hii principal yako,bahati nzuri na kukuta ushapost.nafkiri umemalizia vizuri sana.Kitu pekee ninachomuhakikishia huyu dada huyu jamaa hampendi na apige moyo konde amsubirie mtu
atakaye mtreat yy like a queen
mtafutie mateja yule mshkaji chaumbea wammpe kitu. ..duh im (JK)ila angenikoma. huyo mtu kata nae mawasiliano. .He seems to over owned u. shoga jus be strong. songa mbele huo sio mwisho wa maisha. .maisha ya naendelea na inaekea huyo alikuwa anakucheat yeye na he was looking for a reason. mahusiano bila trust yanin kila siku anakuliza si kitunguu huyo. ..Em shoga angu tulia akili jiambie 'I'm more than his stupid self move on . everything happens for a reason. jus leave dat madafanta who wasn't meant for you.Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
Pole sana dia, dah dunia hii!, unaweza kusema ya kwangu ni makubwa kumbe kuna watu yaliyo wakuta ni makubwa sana. cha msingi ni kuamini jambo moja alieumbwa kwa ajili yako yupo siku ikifika atakuja na hutokaa umkumbuke ex wako tena. jitahid kuwa na furaha, itengenezee mazingira furaha.. inapobidi furahi kweli kweli. usiwe mwenye hudhuni sana utawafanya hata rafiki zako kukufariji kila mara wakuonapo ktk hali hiyo kitu ambacho kitakufanya usimsahau mapema. Jipe moyo mpendwa ok?Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
jaribu kumwita jamaa umweleze ya moyon atakupa hata nafas ya kuwa small house
utaweza kuangalia mkuu??.. hii ni serious sio maigizo aisee!
kaka wafikiria naweza kushindwa....! ikiwa upo tayari niambie nikupm email yangu
kwa hio anataka uendekwenye harusi yake ama vipi?![]()
pleasego there, utaishia
huku wenzio waki
!!!![]()
kitendo chawako, ni dhahiri kuwa alidhamiria kukuacha makusudi ili akaoe kwingine...![]()
usishangae ukienda huko ukaishia......![]()