M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Wakuu naomba mnijuze gharama za kuvuta umeme wa TANESCO kwa sasa ziko vipi kwa single phase na double phase maana ninafikiria kuweka umeme kwenye kibanda changu, Nguzo ya karibu ni ya single phase na ipo umbali wa kama mita 50 hivi toka kwenye hako kabanda kangu.