Claude Henry
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 308
- 332
Ingependekeza ofisi zote za Tanesco zisiwe na umeme kama vile wananchi wanavyoteseka kwa mgao wa umeme usiokwisha, labda hii itawafanya mabosi wa Tanesco watoke maofisini na kufanya kazi kuzuia mgao wa umeme usitokee. Wakati wananchi hawana umeme na biashara zao zinadorora wao Tanesco wanahakikisha ofisi zao zote haziguswi na mgao wa Umeme.