Kaka unitake radhi tafadhali,, nani kasema hii ni biashala? Na hilo swali lingine nimeshalijibu zaidi ya mara 100 hapa. Hiyo si avatar tu bali ni mimi mwemyewe. Kwanini niweke ya mwingine wakti Allah ameniumba nikaumbika? Najiamini sana kwa taalifa yako
mi nilifikiri unatoa hiyo Nyung'u!!!
alaaaa!!!!!!
nafuga bata sifugi kunguru...KISAMADI ZAID
ndiyo najiandaa kutoambona hujatoa? Mida ya kutoa nami niite nije nikusaidie kutoa.
ndiyo najiandaa kutoa
Haswaaaaa!Sasa uloshindwa nini kutoa bila kuanzisha thread?!Kama waliokusema utoe walikufuata PM kwanini usiwajulishe huko huko kwamba umewasikia na kuwaelewa?!Au ndo una njaa ya attention?!
Sasa uloshindwa nini kutoa bila kuanzisha thread?!Kama waliokusema utoe walikufuata PM kwanini usiwajulishe huko huko kwamba umewasikia na kuwaelewa?!Au ndo una njaa ya attention?!
mhh mbona unamshushua sana jaman..?
mwache jaman...asi ndo uyu alileta thread ya ..JAMAN KITUMBUA CHANGU KIMETUNA MUME WANGU ANAKISIFIA SANA ETI NI KAWAIDA....braaaaaa braaaaaaaaaa ..ukamjibu..BIASHARA MATANGAZO...!!!!!!!
Nlikua nimesahau!!Haya Salamia sijui Salimia endelea na matangazo labda mteja atajitokeza soon!mhh mbona unamshushua sana jaman..?mwache jaman...asi ndo uyu alileta thread ya ..JAMAN KITUMBUA CHANGU KIMETUNA MUME WANGU ANAKISIFIA SANA ETI NI KAWAIDA....braaaaaa braaaaaaaaaa ..ukamjibu..BIASHARA MATANGAZO...!!!!!!!
Nimetoa.......... wacha nikaoge sasa maana wambea mnaniangalia kwa jicho la husda.Nlikua nimesahau!!Haya Salamia sijui Salimia endelea na matangazo labda mteja atajitokeza soon!
Hahahahah...eti wivu!!!Wivu tuonee kivuli ambacho kinaweza kua cha mwanaume?!Nimetoa.......... wacha nikaoge sasa maana wambea mnaniangalia kwa jicho la husda.Wee Lizzy sijui Luzi na mwenzio Rose mna wivu,, nadhani mmepigwa pasi huko nyuma ndiyo maana roho inawakeleketa.
Hahahahah...eti wivu!!!Wivu tuonee kivuli ambacho kinaweza kua cha mwanaume?!
Asavali....manake kisa cha kuoteshana usiku??iga mfano wa Lizzy,Shantel n.k,ili tunaposhauriana tukutazame kwa upole kidogo...si unaona ya kwangu????????????Ndiyo ni kweli natoa!!
Natoa avatar yangu kuanzia kesho maana naona vijino pembe wamezidi kuniandama na kunitumia pm nyingi sana. Pia naona akina Speaker, Okada, Asprini na wengine wananisakama kwamba nitoe vile haiendani na maadili. Kwa hiyo jamani mnivumilie kidogo, Kesho nitatoa.
Nawasilisha