James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
I have decided to give kile nilichokuwa nacho kuhusiana na forex trading. Sina experience kubwa sana sababu na na mimi ni mmoja ya watu waliojifunza baada ya Ontario kuwa ameweka bandiko lake mwaka jana mwezi wa 5.
The only thing you will need to have is smart phone or a computer with an active connection of internet kwa sababu nitafundisha kwa njia ya Webiner. Then baada ya hapo the lesson will be given for free. No body is going to pay.
Nitakacover kuanzia intro, brokers, S &R, TL, chart patterns na mambo mengine mengi sana. Pia tutaelekezana namna ya kutumia mt4, kuanalyse market, kupata entry, kuset SL na TP kwa usahihi n.k. Pia tutaangalia other side ambayo ni trading psychology kdg.
In case kama ww ni beginner na ungehitaji kujifunza vitu vingi ambavyo vinaweza kuwa na msaada kwako, basi nakukaribisha.
You may join my whatsapp group via Free Forex education
Karibuni wote.
The only thing you will need to have is smart phone or a computer with an active connection of internet kwa sababu nitafundisha kwa njia ya Webiner. Then baada ya hapo the lesson will be given for free. No body is going to pay.
Nitakacover kuanzia intro, brokers, S &R, TL, chart patterns na mambo mengine mengi sana. Pia tutaelekezana namna ya kutumia mt4, kuanalyse market, kupata entry, kuset SL na TP kwa usahihi n.k. Pia tutaangalia other side ambayo ni trading psychology kdg.
In case kama ww ni beginner na ungehitaji kujifunza vitu vingi ambavyo vinaweza kuwa na msaada kwako, basi nakukaribisha.
You may join my whatsapp group via Free Forex education
Karibuni wote.