Natangaza tarehe 01/03/2024 iwe siku ya mandamano ya kukataa mgawo wa umeme Tanzania

Tuazie dar
Wazo zuri maana haiwezekani mtu unagiza samaki mwanza wanafika unhifadhi kwenye jokofu umeme unakatika masaa 24 ukirudi masaa matatu wanakata tena tunaishia kutupa samaki unagiza tena mtindo ule ule huu ni mfano mmoja mwenye uhalisia haya mtu anasafiri kutoka mkoani kwenda wizarani Dodoma anafika anambiwa umeme hakuna asubilie umeme urudi kiukweli ina uma
 
Tatizo limeazia kuwekeza kwenye umeme wa maji huu mifumo ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji imepitwa na wakati .
Wazo zuri maana haiwezekani mtu unagiza samaki mwanza wanafika unhifadhi kwenye jokofu umeme unakatika masaa 24 ukirudi masaa matatu wanakata tena tunaishia kutupa samaki unagiza tena mtindo ule ule huu ni mfano mmoja mwenye uhalisia haya mtu anasafiri kutoka mkoani kwenda wizarani Dodoma anafika anambiwa umeme hakuna asubilie umeme urudi kiukweli ina uma
 
Tatizo limeazia kuwekeza kwenye umeme wa maji huu mifumo ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji imepitwa na wakati .
Tunawaza magufuri aliwezaje kumaliza mgao na alisema wazi kabisa kuwa wale wanaokata kata umeme anawajua wasubutu waone
 
Back
Top Bottom