28/03/2015
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 366
- 335
- Thread starter
- #101
AhsanteHongera sana mkuu
AhsanteHongera sana mkuu
Imefaa mkuu thanks. Kazi nzuriDownload hii attachment
AhsanteUbarikiwe mkuu
poa, tupo pamojaImefaa mkuu thanks. Kazi nzuri
Ahsante kwa mrejesho, tupo pamoja, safari njemaHapa ni full burdani..nipo safarini nafurahi kupitia Halotel.....Safi sana.
Kaka mjibu huyu....Aisee. ....we jamaa ni mkali.
Nimejaribu inapiga mzigo fresh kabisa.
Haya tuhabarishe kuhusu gharama maana dunia hii ya viwanda hakuna cha ubwerere, vipi matumizi ya bundle lakini pia multchoice watakuacha salama na hizo supesports zao??
Matumizi ya bundle yanatofautiana kutoka channel moja hadi nyingine, kwa sababu zimetofautiana quality, ila ishu ya multchoise nitalifanyia kazi, na application sio ya kulipia, ukibonyeza hayo matangazo unakuwa umenisupportAisee. ....we jamaa ni mkali.
Nimejaribu inapiga mzigo fresh kabisa.
Haya tuhabarishe kuhusu gharama maana dunia hii ya viwanda hakuna cha ubwerere, vipi matumizi ya bundle lakini pia multchoice watakuacha salama na hizo supesports zao??
download hii attachmentMm inakataa kudownload
AhsanteKazi nzuri mkuu
tupo pamojaumetukomboa sana makanjanja
Asante bossdownload hii attachment
Nitafanyia kazi, ahsante kwa mrejeshoJaribu kuzifanya zishike network mapema zinaload sana