Natamani nifuge samaki chumba nilichopanga

Natamani nifuge samaki chumba nilichopanga

Habari JF,

Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga,

Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha,

Hii imekaaje wadau...

seem like joke but niko sawa kabisa. any idea
Vipi kina sehemu ya Sweeming pool (Bwawa) ..tuanzie hapo kwanza...😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom