Gharama hujawekaBei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
😂🤣😂
Hahaaaaaawe mzee kwenye net wakati navua na mkono
Yaani utaka huku unakatika huku unaangalia kambale na sharubu zaogharama za kulisha samaki sio kubwa.. kiganja cha mkono cha chakula wanakula siku nzima



yeah,, tena mda mwingine wanaweza kuwa pamboYaani utaka huku unakatika huku unaangalia kambale na sharubu zao
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Basi hujachelewayeah,, tena mda mwingine wanaweza kuwa pambo
Ndio umemaliza chuo?gharama za kulisha samaki sio kubwa.. kiganja cha mkono cha chakula wanakula siku nzima
Au utavulia pichuwe mzee kwenye net wakati navua na mkono