Mr Eggo
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,028
- 1,051
- Thread starter
- #81
wanaume na nyie mnajifikiria sana. si uoe tu mambo mengine yatajulikana huko huko. wewe unatamani fanya maamuzi sasa. ngoja hiyo tamaa yako iyeyuke na huyo binti unaetaka kumchunguza miaka mia utajikuta wampoteza.
Hahaaha....wanaune hua tunawaza sana maana ndo tunabeba majukum yote...ayo majukum sawa ni maneno tu..