Natamani kuoa

Natamani kuoa

niwazo zuri ila usioe kwasababu ya uvivu wa kupika na kufua ila oa kama unaona unahitaji mtu wakushirikiana naye katika kutimiza ndoto zako za maisha

This iz it mkuu! ..
 
kwa umri huo wako, lazima ugongewe mkeo, kwa sababu bado hamjakomaa, kwani sasa hivi unajishugulisha na nini? au bado unafanya asignment? na pia acha kuangalia chereko, cheki mpira ili utamani kuwa kiungo.

Negative mind always thnk on negative line...we ulishagongewa!...iyo experience unaitoa wap!...

Usikariri maisha ata km we ulishagongewa haimaanish kila mmoja mwenye umri uo atagongewa!...nxt time jarb kua positive mkuu......kiroho safi..
 
binamu hebu nipe sababu tatu
sitakazonifanya nisimuite mleta mada kavulana!!
afu kaambie kaoe tu,ndoa tamu weee!!

Sababu zote izo!!!!...hauna haja ya sababu "MIMI NI KAVULANA"...asante kwa ushauri....
 
Wanasumbua kweli humu mtu hajaongea hata na mke wake anakimbilia hapa ooh mara mke wangu kamaliza chakula hajaniwekea eti kisa amekula mgeni,oooh mke na shemeji yangu siwaelewi wako karibu mno yaani watu hata hawajui ndoa nini maana yake na kuna vitu vya kuomba ushauri si kila kitu tu unakimbilia huku

Nasisi tukifikia mlipofika nyie tutaanza kuleta adth za aina ya gar ya kununua..raman za nyumba,vjui site na mengne...i thnk ts our time we have to let these stuffs hapen....so let us be mkuu...kashfa hazijawah kusaidoa ppte....
 
Nasisi tukifikia mlipofika nyie tutaanza kuleta adth za aina ya gar ya kununua..raman za nyumba,vjui site na mengne...i thnk ts our time we have to let these stuffs hapen....so let us be mkuu...kashfa hazijawah kusaidoa ppte....
Sijamkashifu mtu hapa wewe unatamani kuoa halafu wa kumuoa huna unataka sisi tukusaidie kuchagua wa kumuoa? si kila jambo la kuomba ushauri narudia tena
 
nyimbo za ndoa ndoa zimetawala humu sahz duuu....
ndo mana m nikasema kuweni wakwel mfarijiane...waseja n weng humu....haya sasaaaa
 
Sijamkashifu mtu hapa wewe unatamani kuoa halafu wa kumuoa huna unataka sisi tukusaidie kuchagua wa kumuoa? si kila jambo la kuomba ushauri narudia tena

Hakuna sehem nimetaja nataka kusaidiwa kutafuta mchumba rather i was simply asking for the experience kwa wale ambao tayar wameshapita uku....kwamba n jambo la kawaida!...

Sasa mkuu unakuja na maneno km vile tulipaswa tuandike formula za chemistry uku!!!...

Pia we haujalazimishwa ku-comment ....km uliona pumba unaelekea kwe thread za size ya unayoona inakufaa...

Hop cjachafua hali ya hewa..mapumziko mema ya mei mosi mku
 
nyimbo za ndoa ndoa zimetawala humu sahz duuu....
ndo mana m nikasema kuweni wakwel mfarijiane...waseja n weng humu....haya sasaaaa

Hii inatupa picha kua kwa kias kikubwa jf eneo hil n vijana ambao bado hawajaoa/kuolewa.....
 
haya mwaya tutakuwa tunapishana kfc ingawa sisi wameshakula mapochopocho meengi tukienda kfc ni kuburudisha moyo tuu
 
wanaume na nyie mnajifikiria sana. si uoe tu mambo mengine yatajulikana huko huko. wewe unatamani fanya maamuzi sasa. ngoja hiyo tamaa yako iyeyuke na huyo binti unaetaka kumchunguza miaka mia utajikuta wampoteza.
 
Sijamkashifu mtu hapa wewe unatamani kuoa halafu wa kumuoa huna unataka sisi tukusaidie kuchagua wa kumuoa? si kila jambo la kuomba ushauri narudia tena

siku hizi jf kila jamno tunaambiwa si la kuomba ushauri. jamaniii!!!!
 
Back
Top Bottom