Mr Eggo
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,028
- 1,051
- Thread starter
- #21
Natamani???!!!!
Kuoa ni uamuzi sio kutamani
Bas kwa uelewa wangu hua najielewesha kua ukishataman ndo unafanya uamuzi...kwa mfano umemtamani msichana mzuri alaf badae unafanya maamuz ya kuanza kumpigia misele....stand to b corrected mkuu....