wewe una 25 huyo anayetafutwa awe na mingapi? mkifikisha 30 mmeshachokana ile mbaya, pia kwa hayo mapochop[ocho unayoyataka visichana vya siku hizi kupika havijui kwahiyo jiandae kwenda kula mapochopocho unayoyataka kfc na siyo kwa huyo baby wako
Mimi niko 35yrs na wala sifikirii
Tangu niwe na akili za kujitambua mm ni nan nilikua na ndoto...ndoto yangu ilikua iv "when i turn 25yrs,ts when i wish to be in strong r'ship and when i wil get marriade too"
This thing is killing me..each and everyday i think of kuoa...kibaya ni kua bado sijampata nnaedhan anaweza kua mama watoto(kuna ambae niko interested nae ingawa i stil need time to know her kabla cjamwambia any step ahead)..
Kwa hali niliyonayo ya kuwaza kuoa kila ck najiona jinsi ambavyo naweza kujikuta naoa mapema!!!!.....kuna wkt nahc labda coz napata shda kupka..na mambo mengine labda ndo mana i gat tht strong feeling...
Embu wenye ujuzi kwa maana ya experiance wanijuze ni kwamba najiendekeza au ndo ivo kuna wakat hitaj linakua ndo ilo mpaka uoe!!!..au itafkia mahal itaisha!...
As to me nahis bado nna yakufanya mwenyew..angalau 2-3yrs to come naweza kua tayar kuoa.....
Huyo anataka kipochi cha uhakika basi ndo hawa wakioa thread zinakuwa nyingi ooh mara muke yangu kafanya hivi ooh mara nalazimishwa kula mgogo yaani vururgu tupuZamaulid na badiebey mna maana magombe junior anatafuta kijanja hapa au imekuwaje sijawapata vyema
Mkuu wala sio kwamba hisia zitaisha ila jiulize swali moja kuu unaoa kwa sababu gani au una hizo hisia za kutaka kuoa kwa sababu gani
Kwa kuwa umemuona fulani kaoa au kwa kuwa unahitaji sex ya haraka haraka au kwa kuwa unahitaji kujiondoa upweke unaokukabili au unataka mtu wa kukufulia na kukupikia
Ukishajijibu swali moja kuu kwa nini una hisia za kutaka kuoa then hapo utaweza kufanya maamuzi ila kama huna jibu basi endelea kula raha
Wewe naona haumtakii mema huyo bek tatuUnataka kuoa kwasababu unapata shida kupika
si ukae na beki 3
Wanasumbua kweli humu mtu hajaongea hata na mke wake anakimbilia hapa ooh mara mke wangu kamaliza chakula hajaniwekea eti kisa amekula mgeni,oooh mke na shemeji yangu siwaelewi wako karibu mno yaani watu hata hawajui ndoa nini maana yake na kuna vitu vya kuomba ushauri si kila kitu tu unakimbilia hukuDaudi1 umeona eehh ndo hao ambao hawajui maana halisi ya ndoa wanabakia kuja kulalamika kila sikui
Hahahha...mom fay umenchekesha... iyo saut we umeckia wap!!....tehe tehs
nilijua utakuja na jibu kama hilo, ila uzuri hata yeye huwa anapika. Huo umri ni namba tu hata mtoto mwenye umri wa miaka 15 anaweza akawa na busara kuliko wewe