Natamani kuoa

Natamani kuoa

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,051
Tangu niwe na akili za kujitambua mimi ni nani nilikua na ndoto...ndoto yangu ilikua hivi "when I turn 25yrs,ts when I wish to be in strong reletionship and when i wil get marriade too"

This thing is killing me..each and everyday I think of kuoa...kibaya ni kua bado sijampata ninaedhani anaweza kua mama watoto(kuna ambae niko interested nae ingawa I stil need time to know her kabla sijamwambia any step ahead)..

Kwa hali niliyonayo ya kuwaza kuoa kila siku najiona jinsi ambavyo naweza kujikuta naoa mapema!....kuna wakati nahisi labda sababu napata shida kupika..na mambo mengine labda ndo mana I gat that strong feeling...

Embu wenye ujuzi kwa maana ya experiance wanijuze ni kwamba najiendekeza au ndo ivo kuna wakat hitaj linakua ndo ilo mpaka uoe!!!..au itafkia mahali itaisha!...

As to me nahisi bado nina yakufanya mwenyewe..angalau 2-3yrs to come naweza kua tayari kuoa.....
 
umetamani kitu kizuri kijana!na kwa jinsi ulivyojinadi kwa kidhungu subiri utapata mtu hivi karibuni!!
 
Napenda kukudediketia ule wimbo wa tuliza moyo wako,chunga tamaa mbaya wa 20% ukuburudishe jioni ya leo
lakini pia em ngoja waje wanaotaka kuolewa u neverr know double coincidence may happen hapa...
 
Zamaulid na badiebey mna maana magombe junior anatafuta kijanja hapa au imekuwaje sijawapata vyema
Mkuu wala sio kwamba hisia zitaisha ila jiulize swali moja kuu unaoa kwa sababu gani au una hizo hisia za kutaka kuoa kwa sababu gani
Kwa kuwa umemuona fulani kaoa au kwa kuwa unahitaji sex ya haraka haraka au kwa kuwa unahitaji kujiondoa upweke unaokukabili au unataka mtu wa kukufulia na kukupikia
Ukishajijibu swali moja kuu kwa nini una hisia za kutaka kuoa then hapo utaweza kufanya maamuzi ila kama huna jibu basi endelea kula raha
 
Last edited by a moderator:
Napenda kukudediketia ule wimbo wa tuliza moyo wako,chunga tamaa mbaya wa 20% ukuburudishe jioni ya leo
lakini pia em ngoja waje wanaotaka kuolewa u neverr know double coincidence may happen hapa...

Thnx foe ded....ngja niji-utube
 
Miss chaga unanionea...25 ts worth it kua na mwenzangu niamke nae asbh...embu ntake radh
 
Zamaulid na badiebey mna maana magombe junior anatafuta kijanja hapa au imekuwaje sijawapata vyema
Mkuu wala sio kwamba hisia zitaisha ila jiulize swali moja kuu unaoa kwa sababu gani au una hizo hisia za kutaka kuoa kwa sababu gani
Kwa kuwa umemuona fulani kaoa au kwa kuwa unahitaji sex ya haraka haraka au kwa kuwa unahitaji kujiondoa upweke unaokukabili au unataka mtu wa kukufulia na kukupikia
Ukishajijibu swali moja kuu kwa nini una hisia za kutaka kuoa then hapo utaweza kufanya maamuzi ila kama huna jibu basi endelea kula raha

1.my mam amekua akiniulizia sana kuhus mchumba na vp mbna kimyaa (hahaha hua anantoa mood coz naamin nkiwa tayar ntampeleka...ingawa hua sion km yy ni chanzo sana cha mm kuwaza ivo)

2.Nimekua napata upweke sana naish mwenyew..kula kwa shida(yan cpend kupika ata kama kila kitu cha kupika kipo apo naweza kula mkate nkalala...thatha najiwazia iv jaman nkiwa na beibe apa c full kujilia mapocho!!!!)...

3.Cha mwsho n ths strong filin ambazo cwez kuzielezea bt ts telin me like... t.s time now!.....
 
Last edited by a moderator:
Zamaulid na badiebey mna maana magombe junior anatafuta kijanja hapa au imekuwaje sijawapata vyema
Mkuu wala sio kwamba hisia zitaisha ila jiulize swali moja kuu unaoa kwa sababu gani au una hizo hisia za kutaka kuoa kwa sababu gani
Kwa kuwa umemuona fulani kaoa au kwa kuwa unahitaji sex ya haraka haraka au kwa kuwa unahitaji kujiondoa upweke unaokukabili au unataka mtu wa kukufulia na kukupikia
Ukishajijibu swali moja kuu kwa nini una hisia za kutaka kuoa then hapo utaweza kufanya maamuzi ila kama huna jibu basi endelea kula raha

hahha,mi namtania bana...wimbo akisikiliza lakn utamsaidia kutafakari ,kuoa ni jambo jema but ajipange
 
Last edited by a moderator:
magombe junior hiyo sababu ya pili kama hizo hisia ndiko zinakokupeleka sidhani kama dhima nzima ya ndoa unaielewa
Ndoa sio kupika , kufua, kukutoa upweke na sex kuna mengi zaidi ya hayo na hizo ni ziada za ndoa
Hisia zako zinakupeleka kwa kuwa unahitaji kw akuwa unajiona mpweke unalala peke yako huna wa kukupikia na the so called
Hata huyo mama anayeuliza ni lini aytamuona mka mwana wake inahitaji uwe na utayari wa kufanya hivyo na sio shinikizo kutoka nje au kutoka kwa wazazi au kutokana na kukosekana kwa kitu fulani
Kuwa tayari kujua ndoa ni nini na kwa nini naoa
Kwa maana unaweza kuoa ukaishia kujikuta mkeo hajui kupika mkaishia kwenda kutafuta mfanyakazi wa kupika je lengo lako la kumpata mke wa kukupikia na kukufulia limefanikiwa au umeongeza tuu gharama nyingine
 
Last edited by a moderator:
hahha,mi namtania bana...wimbo akisikiliza lakn utamsaidia kutafakari ,kuoa ni jambo jema but ajipange
badiebey ndo maana nimemuuliza yuko tayari kuoa au kuna force inamfanya afikirie hivyo
 
Last edited by a moderator:
magombe junior hiyo sababu ya pili kama hizo hisia ndiko zinakokupeleka sidhani kama dhima nzima ya ndoa unaielewa
Ndoa sio kupika , kufua, kukutoa upweke na sex kuna mengi zaidi ya hayo na hizo ni ziada za ndoa
Hisia zako zinakupeleka kwa kuwa unahitaji kw akuwa unajiona mpweke unalala peke yako huna wa kukupikia na the so called
Hata huyo mama anayeuliza ni lini aytamuona mka mwana wake inahitaji uwe na utayari wa kufanya hivyo na sio shinikizo kutoka nje au kutoka kwa wazazi au kutokana na kukosekana kwa kitu fulani
Kuwa tayari kujua ndoa ni nini na kwa nini naoa
Kwa maana unaweza kuoa ukaishia kujikuta mkeo hajui kupika mkaishia kwenda kutafuta mfanyakazi wa kupika je lengo lako la kumpata mke wa kukupikia na kukufulia limefanikiwa au umeongeza tuu gharama nyingine

Maelezo mazuri Mr Rocky ila nadhan bado nahitaj uzeofu wako kwenye hili...

Najua kuna watu wanachelewa kuoa (ingawa binafsi anaweza kukwambia hajachelewa coz ndo muda alioupanga)..

Kwa mm nadhan naweza kua na mke kwa sasa ingawa kuna wakat naona ni upepo umekua unavuma na hayo mawazo coz my willing n baada ya iyo 2-3 yrs...

Embu nsaidie kudadavua km ni hali ya kawaida natakiwa niitii au niendelee kusubir mpk ntakapoona sasa i can...
 
Last edited by a moderator:
Wakati wowote mkuu magombe junior unaweza kuoa kama una utayari huo na kama uko taayri kufanya hivyo haijalishi ni miaka mingapi ila uwe tayari kufanya kile ambacho unajua unafanya nini
Zinaweza kuwa hisia kwa kuwa umemuona fulani kaoa na kafanikiwa katika umri kama wako au kwa kuwa umepata shinikizo kutoka kwa wazazi
Linalohitajika ni ule utayari wako wewe kama wewe kukubaliana na hali halisi kuwa kweli nataka kuoa kwa sababu najua maana ya kile ninachotaka kufanya
Kila mtu ana wakati wake wa kuamua kufanya kile anachotaka pale utayari wake unapofikia na anapokuwa sasa na utayari wa kukabiliana na majukumu ya ndoa
Muhimu ni kuelewa wataka kufanya nini na kwa nini unataka kufanya hivyo kwa wakati huo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom