Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Nimehama siku hizi, nimehamia Nyambitilwa
Nasikia wewe mchawi sana ndio maana una hamahama kila siku........tafadhali usihamie huku kwetu Nang'wansiwinghili
Nimehama siku hizi, nimehamia Nyambitilwa
shost punguza jazba ee sote ni ndugu matusi ya nini tena si kakutania kwa nini uwe serious hovo lol
Ondoa UNGESE wako hapa nani kakwambia kumzimia mtu lazima awe na hela, wewe una nini kwanza.
Kumbe uzi kwenye jukwaa la mapenzi?? Dah kweli binti kakolea, mi nilidhani tuko kwenye jukwaa la ucheshiAmini nakwambia huu uzi ungekua kule kwetu CHITCHATTERS.......ungefungia mwaka...khaaaaa...haya Bujibuji tiririkaaaaa!!!
Bujibuji ni PM basiiii
Mtambuzi, mi ndio maana nakupenda sana, ulijuaje kuwa lile sanduku langu la PM halifanyi kazi siku hizi?
Jamani za siku, nilikuwa nimebanwa na shughuli kidogo ndo maana nikapotea wapendwa.
Hivi jamani nitampataje BujiBuji mimi namzimia sana na ningependa kukutana nae. Je unaishi mkoa gani na unafanya kazi gani? una familia au uko single?
afadhali nimekuona.
shkamoo baba:A S 27:
etiiii, :mimba: yangu uliigawiana wapi na maza?
Wale sio watoto wangu, ni watoto wa jirani yangu alisema yeye amezaliwa akiwa amefanyiwa vasektomi, kwa hiyo akaniomba nikipata mtoto niwe nampa yeye.
Sana, naona wameweza kuvutia watalii, wakati wizara husika imeshindwaIla watoto wa jirani yako wana vipaji
nitanunua suti ya harusi mambo yakiiva