Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,895
Bujibuji ni PM basiiii
nakutakia wikendi njema dada, na mimi unikumbuke ukishindwana na bro buji
Bujibuji ni PM basiiii
kwenye wajenzi kweli hamna miti.
Afu full aibu
Usiniyeyushe Buji, jibu basi
Kongosho heshima kwako. Kweli kiswahili ni kigumu, sijaelewa kitu
duhh, ntachekaje?? maana atakuwa ameadvance sana, kutoka kwenye tv asilia hadi kwenye digital world???Bujibuji hujui huyo bidada ndio huyo hapo kwenye AVATAR yake anamkutia mkeo lol
Ni hivi
Bujibuji kaombwa ashushe nguo zake, apakwe dawa kwenye kibarango chake mgongoni
Eti anamwonea aibu nesi, kutwa nzima anauma uma majani
Nesi hadi katoa machozi, buji hajaeleweka
Hadi naingia mitamboni, Buji hajatuma hata PM moja ya mashambulizi
Sikujua, kumbe Ungese ni lugha kali!sisi kwetu ni uteute...lol. au mwenzetu umesoma kisengerenyuma (kinyumenyume)?
kimzahamzaha twaweza kuletewa kadi za michango keep it up Bujibuji and NOT ENOUGH
Naliho du nkwingwa, nalikudegeleka mbehi ng'wana watogagwa bhagosha!dila gawiza nkoi
kwanza hebu ona majina yenyewe bujibuji is not enough hapo kadi itoke wapi?