ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,379
- 118,805
Tafuta wataalam wa afya ya akili wakupe ushauri jinsi ya kukabiliana na matatizo yako, kujiua hakutatui tatizo ulilonalo coz utawaumiza watu wansikupenda.
Nenda MNH, tafuta wataalam wa afya ya akili wakusaidie, we all go through tough times in life, Ila jinsi ya kukabiliana na matatizo tunatofautiana.
Siku hizi ukileta mada kama yako "great thinkers" watakurushia kila aina ya kebehi, wasijue kuwa everyone goes through rough patches at some point in life.
Be strong brother!!!
Nenda MNH, tafuta wataalam wa afya ya akili wakusaidie, we all go through tough times in life, Ila jinsi ya kukabiliana na matatizo tunatofautiana.
Siku hizi ukileta mada kama yako "great thinkers" watakurushia kila aina ya kebehi, wasijue kuwa everyone goes through rough patches at some point in life.
Be strong brother!!!
anao wa wili unawataka wote