Natamani Kujiua

Natamani Kujiua

Umeshindwa kutumia elimu yako,upeo kujitambua na kujiongoza, ukaona suluhisho pekee ni kijiua!.Kabili tatizo sio kulikimbia.....
 
Habari Wana JF, Kama Heading Inavyosomeka Hapo Juu, Mimi Ni Kijana wa Miaka 29, Nimeajiriwa, Kazi Imenitenganisha Na Familia,( Mzazi Mmoja ambaye Ni Mama, Maana Baba Alifariki Kipindi Nikiwa Mdogo, Nimekua Mlevi Kupindukia, Simu Sipigi Nyumbani, Hela Siioni Inakoelekea, Mama Sina Mahusiano Nae Mazuri, Mahusiano Yangu Hayaeleweki.
Misuko Suko Kibao, Ajali Haziishi, Sioni Wapi Naelekea, Asubuhi ya Leo Wakati Natoka Club , Nikiwa Na Mwanamke Niliempata Huko, Nimepata Ajali Mbaya Sana, Nimepata Majeraha Madogo Tu, Ila Gari Imeumia Sana, Na Kwa Vile Nilikua Nimelewa, Nikampigia GF Wangu Akaja Kushughulikia Kuivuta Gari, Mimi Na Yule Mwanamke Tukawa Tumeshaondoka, Hata Sikufikiria Kama Nitakutwa.

Mbaya Zaidi Nikafumaniwa Na Yule Mwanamke, Ilikua Aibu tupu Mtaani, Naona Siheshimiki Tena, Nyumba Ninayoishi Ni Ofisi Nipo Na Baadhi ya Staff Wenzangu wapo Na Familia Zao, Sijatoka Nje Siku Nzima ya Leo, Kilicho Kichwani Kwangu Ni Kujiua Tu, Sitamani Tena Kuishi, WHY ALWAYS ME? Nimemkosea Nini Mungu, Najua Natenda Dhambi, Ila Niende Huko Labda Nitapumzika. Samahanini Kwa Maelezo Yangu Marefu
Ila Hili Lipo Moyoni Mwangu na Lazima Nilitekeze, Napokea Maoni Yenu Wadau, NAKOSEA WAPI?
Je ukijiua utapata faida gani?
 
Hukusema ni dini gani ila nadhani hata hiyo dini haikusaidii. Ila nakushauri: Amri kuu zaidi kwetu ni ile ya 4 isemayo; Waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani.
Sasa umesema kuwa baba kwisha kufa. Mama ndo yupo. Ila huna habari naye. Wewe na vimini tu na vyupa/ Inaonesha kuwa una mshahara mzuri tu. Hivyo, mama ndo kakusomesha. Hujui alifanywa nini kupata hiyo gharama yako ya kusoma. Sasa unathubutu kusema ati; Sina habari naye!! Ajab.
Usijiue kwani aibu itakufuata hadi kaburini. Naamini, hata kule kwenu hujarepea ile nyumba aliyoiacha babako. Nyufa zinazibwa na miiba mbwa wasimle mamako kupitia hizo nyufa.
Ukifa leo, hao vimini ndo watakusafirisha kwenda kukuzika?? Hapana, usijiue kwanza. Hebu fanya kukopa kamkopo ukajenge fasta kwenu au ukarepee ile nyumba anayolala mamako ili tutakapokuja kukuzika pale, angalao tupate pa kujisitiri mimvua hii ya mafuriko.
Mpe Yesu maisha yako atakupa amani na kusudi la kuishi.
 
Matatizo yako unayajua BADILIKA kwa faida yako na wote wanaokupenda na kukuthamini. Kuendesha gari na pombe havitengamani kama unataka kwenda kulewa kwanini usichukue taxi!? Utakuja kuuwa INNOCENT people kwa ulevi wako na kutaka kuendesha.

BADILIKA Mkuu

Habari Wana JF, Kama Heading Inavyosomeka Hapo Juu, Mimi Ni Kijana wa Miaka 29, Nimeajiriwa, Kazi Imenitenganisha Na Familia,( Mzazi Mmoja ambaye Ni Mama, Maana Baba Alifariki Kipindi Nikiwa Mdogo, Nimekua Mlevi Kupindukia, Simu Sipigi Nyumbani, Hela Siioni Inakoelekea, Mama Sina Mahusiano Nae Mazuri, Mahusiano Yangu Hayaeleweki.
Misuko Suko Kibao, Ajali Haziishi, Sioni Wapi Naelekea, Asubuhi ya Leo Wakati Natoka Club , Nikiwa Na Mwanamke Niliempata Huko, Nimepata Ajali Mbaya Sana, Nimepata Majeraha Madogo Tu, Ila Gari Imeumia Sana, Na Kwa Vile Nilikua Nimelewa, Nikampigia GF Wangu Akaja Kushughulikia Kuivuta Gari, Mimi Na Yule Mwanamke Tukawa Tumeshaondoka, Hata Sikufikiria Kama Nitakutwa.

Mbaya Zaidi Nikafumaniwa Na Yule Mwanamke, Ilikua Aibu tupu Mtaani, Naona Siheshimiki Tena, Nyumba Ninayoishi Ni Ofisi Nipo Na Baadhi ya Staff Wenzangu wapo Na Familia Zao, Sijatoka Nje Siku Nzima ya Leo, Kilicho Kichwani Kwangu Ni Kujiua Tu, Sitamani Tena Kuishi, WHY ALWAYS ME? Nimemkosea Nini Mungu, Najua Natenda Dhambi, Ila Niende Huko Labda Nitapumzika. Samahanini Kwa Maelezo Yangu Marefu
Ila Hili Lipo Moyoni Mwangu na Lazima Nilitekeze, Napokea Maoni Yenu Wadau, NAKOSEA WAPI?
 
Kama ni muislam mwezi mtukufu unakuja jitahid kuswali sana toa toba ya kweli pia Swali Tahajud(meditation
 
Unatoka club mlevi kupindukia hujui pesa zinaelekea wapi na umemkasirisha mama kwa sababu ya ulevi wako na kutojali familia...pombe na wanawake mbona unaweza kuwaacha tu tatizo liko wapi au ndio umeanza kunywa pombe na hao kutafuta wanawake ukubwani baada ya kupata kazi...sina ushauri wowote walevi wengi wanajitambua utatupa mrejesho...
 
Hko cha arusha ulichanganya na balimi ,ngoja ziishe kichwan utaona kujiua use.nge tuu.
 
Kama mkristo jitahidi kutoa fungu la kumi maana bila hivyo biblia inasema utakuwa unaweka akiba kwenye mifuko iliyo toboka, ukitoa fungu la kumi Mungu anaahidi kukumimia baraka hata ukose sehemu ya kuziweka, na atamkemea yeyote alaye vile ulivyovitafuta
Asante Bro
 
Pale unapoona binadamu wote wamekuacha na kukutenga usisahau kuna mungu muumbaji,kumbuka umeanguka wapi mludie yeye naye atakuponya pia muombe msamaha mama yko weka mambo sawa kwa watu wako .naamini utafanikiwa na utarudi kama zamani .
 
Hata mimi ningejiua aiseee,… sasa mbona unasitasita mkuu.. Ukichelewa utaghairisha maamuzi, kajiue fasta
Japan kuna sehemu za kujiulia
Yaani ukitaka kujiua ni kwenda tu unajitundika
Sasa jamaa mmoja alikuwa anasita sita anaangalia kamba anageuka
Jamaa mwingine akamwendea akamwambia kama bado una majukumu nipishe mimi nina haraka
 
Saikolojia inatufundisha kwamba..tatizo ukiligundua linakuwa sio tatizo tena! Hivyo mkuu ushapona usiwe na shaka!
 
Yani natamani ningekuwa karibu nikuchape vibao acha upuuzi,mtoto wa kiume usirudie kusema upuuzi huu tena,Kuwa na moyo mgumu kama chuma cha pua.
Hope in the face of uncertainty!
 
Habari Wana JF, Kama Heading Inavyosomeka Hapo Juu, Mimi Ni Kijana wa Miaka 29, Nimeajiriwa, Kazi Imenitenganisha Na Familia,( Mzazi Mmoja ambaye Ni Mama, Maana Baba Alifariki Kipindi Nikiwa Mdogo, Nimekua Mlevi Kupindukia, Simu Sipigi Nyumbani, Hela Siioni Inakoelekea, Mama Sina Mahusiano Nae Mazuri, Mahusiano Yangu Hayaeleweki.
Misuko Suko Kibao, Ajali Haziishi, Sioni Wapi Naelekea, Asubuhi ya Leo Wakati Natoka Club , Nikiwa Na Mwanamke Niliempata Huko, Nimepata Ajali Mbaya Sana, Nimepata Majeraha Madogo Tu, Ila Gari Imeumia Sana, Na Kwa Vile Nilikua Nimelewa, Nikampigia GF Wangu Akaja Kushughulikia Kuivuta Gari, Mimi Na Yule Mwanamke Tukawa Tumeshaondoka, Hata Sikufikiria Kama Nitakutwa.

Mbaya Zaidi Nikafumaniwa Na Yule Mwanamke, Ilikua Aibu tupu Mtaani, Naona Siheshimiki Tena, Nyumba Ninayoishi Ni Ofisi Nipo Na Baadhi ya Staff Wenzangu wapo Na Familia Zao, Sijatoka Nje Siku Nzima ya Leo, Kilicho Kichwani Kwangu Ni Kujiua Tu, Sitamani Tena Kuishi, WHY ALWAYS ME? Nimemkosea Nini Mungu, Najua Natenda Dhambi, Ila Niende Huko Labda Nitapumzika. Samahanini Kwa Maelezo Yangu Marefu
Ila Hili Lipo Moyoni Mwangu na Lazima Nilitekeze, Napokea Maoni Yenu Wadau, NAKOSEA WAPI?
Badili tabia otherwise utakaribisha depression mwisho ya siku ni kifo tu
 
Kuwa mpole mzee afu acha pombe wakumbuke ndugu zako hasa mama utafanikiwa
 
Yani nimesoma mara mbili sikuelewa.
Ujinga ufanye mwenyewe ulewe mwenyewe, kutokana na ulevi wako na kuedekeza starehe pesa huioni, mzazi wako humjali ulevi upate ajali uzinzi ukugombanishe na mpenzi wako halafu uje eti unauliza umemkosea nini Mungu sijui why me? Seriously?
Ukipata na UKIMWI utauliza why me wakati uzinzi unafanya mwenyewe?
Mimi kwakweli sikuonea huruma kufa tu maana kuna watu wana shida wanatafuta kazi hawana ela wewe mwenye kazi na pesa unafanya upuuzi halafu unamlalamikua Mwenyezi Mungu. Au unalalamika kuwa kakosea kukupatia kazi maana ndiyo imekufanya uwe mzinzi mlevi na ujitenge na familia yako hasa mama?
Ngoja aje akunyanganye kazi maana inaelekea kakosea kukupa hiyo kazi mpaka unauliza why you
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom