Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Na hiyo avatar kwwli atapata mbegu boraaMi na donate sperm... If your interested just ni PM ujipatie mbegu bora...
Na hiyo avatar kwwli atapata mbegu boraaMi na donate sperm... If your interested just ni PM ujipatie mbegu bora...
Haha.... Atawapata akina trey songz wengi sana.... "Na hiyo avatar kwwli atapata mbegu boraa
Ni pm namba yako tafadhali..sijasema nahitaji mtoto ili nimvushe barabara
Vipi ndugu naweza kuhusika huko pm?
Mnhh.....Umechoka kuchoropoa mimba sasa unataka watoto.
Hivi mbona mimi nikifungua link inanipeleka kwenye browser? Yaani ile post ninayoifungua kwenye link haifungukii kwenye app
Hivi watu wa hum mbona mna midomo michafu sana? Mimba alizochoropoa ulimpa wewe au wewe ndo ulimchoropoa? Hebu kuwa na adabu umezaliwa na mwanamke weweUmechoka kuchoropoa mimba sasa unataka watoto.
Nimekugusa hahahaaaaHivi watu wa hum mbona mna midomo michafu sana? Mimba alizochoropoa ulimpa wewe au wewe ndo ulimchoropoa? Hebu kuwa na adabu umezaliwa na mwanamke wewe
Yap umenigusa. Nawachukia watu wanaogeneralize maisha yao kuwa maisha ya kila mtu....kwa sababu wewe ulizaliwa kwa bahati mbaya baada ya mama yako kujaribu kukuchoropoa mara kadhaa basi unahisi hayo ndo maisha ya kila mwanamke unakosea sanaNimekugusa hahahaaaa