mind ur bussness
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,050
- 743
Aombae hupewa, subiri mrejesho wa ulichoomba
Kila la kheri Tamama.
Mkuu ulizia vzur sifa za iyo incubatorMimi ni mwanaume rijali natafuta incubator!........... unaweza kuwa msaada kwangu please?
Unachanganya madesa mkuuKuna haja uongozi wa jf umfikirie jamaa kuwa moderator. Maana hata sijui anawahi vipi kila thread kuwa wa kwanza yeye.
Hivi mbona mimi nikifungua link inanipeleka kwenye browser? Yaani ile post ninayoifungua kwenye link haifungukii kwenye app
Nipo hapa mkuuAmen...!!naamin utapata baba bora
Nipo hapa baba boraNapenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo
Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma
Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu
Hahahahaah....!!! Kumbe upoNipo hapa mkuu
jaramba linahusika hapa..wakishindwa huko uniambie..😵Napenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo
Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma
Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu