Natamani kuitwa mama

Natamani kuitwa mama

Yes upo sahihi @mahondwa wangu.. In other words mtoa mada anatafuta mwanaume..

Hahahaahhahahaahahahahaha Smart911 wangu sitaki kesiiiii nimeokoka mwenzio Ohooo mimi nimesema anatafuta wewe unaongezea shaurilo love .. Teh eti hebu Kaone kwanza 🙄🙄
 
Napenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo

Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma

Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu
sasa wasubiri nini?
 
Mhh upo serious nitafute kama we ni mzuri mimi sniper yaani one mistake one goal niko kama Filippo Inzaghi
 
Napenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo

Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma

Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu
Shabaaash! Umenifanya nitake kupata mtoto na mwanamke kama wewe. Wewe ni Mwalimu nini?
 
Back
Top Bottom