Natamani kuitwa mama

Natamani kuitwa mama

Niko vizuri katika kutia mimba. Siku moja tu ya kujamiiana na wewe inatosha kabisa kukupa ujauzito
 
Yap umenigusa. Nawachukia watu wanaogeneralize maisha yao kuwa maisha ya kila mtu....kwa sababu wewe ulizaliwa kwa bahati mbaya baada ya mama yako kujaribu kukuchoropoa mara kadhaa basi unahisi hayo ndo maisha ya kila mwanamke unakosea sana
Ndiyo mana elina lyako ulikhantwe yaani kakichwa kadogo na ubongo wake mdogo haujai hata kwenye kizibo cha soda
 
Napenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo

Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma

Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu

ni pm tafadhali nikutimizie hitaji la moyo wako
 
Hivi watu wa hum mbona mna midomo michafu sana? Mimba alizochoropoa ulimpa wewe au wewe ndo ulimchoropoa? Hebu kuwa na adabu umezaliwa na mwanamke wewe
unakunywa kinywaji gani dear?
 
***TANGAZO***TANGAZO*** GH CHILD GIVING COMPANY inayofuraha kukujulisha mteja kuwa inatoa au inakusaidia kupata mtoto kwa bei nafuu sana .tunapatikana misungwi,MWANZA .
 
Ila mtoto raha sana,yani hapa Nina katoto ka kaka yangu nikikababe najihisi kama nimebeba mtot wangu Wa kumzaa mwenyewe..
 
Back
Top Bottom