Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Huyu baba mtarajiwa yupo?
Ndiyo mana elina lyako ulikhantwe yaani kakichwa kadogo na ubongo wake mdogo haujai hata kwenye kizibo cha sodaYap umenigusa. Nawachukia watu wanaogeneralize maisha yao kuwa maisha ya kila mtu....kwa sababu wewe ulizaliwa kwa bahati mbaya baada ya mama yako kujaribu kukuchoropoa mara kadhaa basi unahisi hayo ndo maisha ya kila mwanamke unakosea sana
Ubongo wangu mdogo ndio na wewe hiki ndicho unafanya na huo ubongo wako mkubwa...basi siuhitaji kama ndo hivyo.Ndiyo mana elina lyako ulikhantwe yaani kakichwa kadogo na ubongo wake mdogo haujai hata kwenye kizibo cha soda
Nisha tuma cv mkuuHahahahaah....!!! Kumbe upo
captain chukua fursa
Sawasawa..!! Subir usajil sasaNisha tuma cv mkuu
Napenda sana watoto, kuna uzi wenye title vioja vya watoto wadogo umenikumbusha kipindi nalea watoto wa dada yangu wakati wa likizo yangu ya shule ni faraja kwa kweli, wale watoto mpaka leo wakiambiwa wanakuja kunitembelea kwangu wanafurahi kupita maelezo
Ninapoishi ni karibu na eneo la shule ya msingi nikiwa naenda kazin wakati wa kuvuka barabara nikikuta watoto lazima niwavushe yan nawaona kama vimalaika eti na katika stori ambazo siwez kuzivumilia ni kusikia unyanyasaj au ubakwaji wa watoto yan kama ni kwenye radio naeza izima moyo unakuwa tu unauma
Mungu anisaidie nipate baba bora kwa watoto wangu
Mambo Tamama?kama unavyochoropoa za mabinti wa watu
HoooovyoooNyie ndo mnakuwaga mmetoa mimba 100,000
Nilijua tu wewe ndiye utaweka link.....
