Natamani kufa

Natamani kufa

Status
Not open for further replies.
Toka nimeanza kufuatilia thread zako........

ni bora ufe tu...

niko nafikiria hapa hata kama umeandamwa vip na matatizo lakin umeshindwa kuyatatua na umekuja na jibu la kujiua hvi uko vizuri kweli au ndio mawazo yamekuzid? yan kufa kabisa?? mmmh hauko serious binti
 
Mbona mnanitenga na sare ya msiba jamani? Msisahahu masungoggles ya buluu. Nani atatupaka make up?

Wala hujatengwa dada, mimi ndo saplaya wa sare. Kesho asubuhi naenda kuchukua mzigo wa madira na mapensi. We nambie unavaa size ngapi nikuwekee.
 
Hahahahahhahahaha shame on u,,huna ubavu hata wa kushikana mkono na boy nnaetoka nae mieeeeeee!utaishia kugongwa na wabeba mizigo,,,,alafu????usipende kuchafua watu ili uonekane mwem kama watafuta bwana jf umebuuuuug sura huna,shape huna,,,ulichopewa ni mdomo mpppppttttttuuuuiu
Dada kazi ni kazi tu kikubwa iwe ni halali na asiyefanya kazi na asile!!wabeba mizigo nao ni watu kama wewe tena wanaoa, wanazaa watoto na wanawasomesha kadri ya uwezo wao!!usidharau kazi ya mtu dada!!
 
Mi navaa leggings bwana. Free size, manake hipsi na kalio ni hapa hadi kuleeee! Na kitopu cheupe plz.

machozi yananiwasha tayari. Marehemu keshakufa?
Wala hujatengwa dada, mimi ndo saplaya wa sare. Kesho asubuhi naenda kuchukua mzigo wa madira na mapensi. We nambie unavaa size ngapi nikuwekee.
 
Hivi bado hujafa tu mpaka sasa? Mana umesema unataman kufa.yan watu wanakosa chakula huko wengine wanaumwa sanaa wanataman wapate chansi ya kuishi tena wewe unaleta ujinga hapa? Kufa kabisa usitusumbue sisi
 
Huwezijua mkuu, inawezekana pia ni kweli coz mambo hayo yanawakuta binadamu na binadamu wenyewe ni sisi. Siamini kabisa kama huyu ni robot au kiumbe tofauti

Blaza hapa tuna-have fun tu, hakuna ushauri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom