Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.

Chawa wa lumumbashi

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
793
1,749
Unjani sabuwona.

Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.

Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.

Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.

Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.

Nawasilisha
 
Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.
Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee
Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Alokutuma kakulipa kias gan mkuu mbona unahatarisha maisha yako Kwa kutumika vibaya kisiasa kirahisrahis?
 
Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.
Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee
Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Acha tu, hiyo kazi lazima uwe sadist ili uende nayo sawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom