Natamani hata kunywa sumu, mapenzi jamani...

Natamani hata kunywa sumu, mapenzi jamani...

Jamani Mapenzi yanatesa...lolz
Kwa hiyo umepanga kunywa sumu..ryte?
Hebu sikia wewe mwanamke..we live once and if you make the most of it just once is enough!
Hama hapa as soon as possible...chukua likizo...pumzika kidogo..
Jifunze kuwa Maisha yana changamoto..na ili uishi kubali kuzikabili changamoto
Otherwise get die or live trying.........................

Kha.. SnowBall, likizo kwa kuachwa na boyfriend? Siku akiachwa na mume si ataacha kazi?
 
Last edited by a moderator:
Wacha bana....hivyo.eeeh.....

Well.....pole sana shosti......hivi maisha yalivyo matamu namna hii.....raha zote hizi za dunia......umefikia kuwaza kunywa sumu.......uwiiiii.....God forbid......toa kabisa hayo mawazo.......huyo sio mwisho wa maisha yako.......tupa kule.....hama hapo..........
Vuta ngoma mpya.......simple........

ahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......mwambie anivute mimi....lo!
 
I believe that everything happens
for a reason. People change so that
you can learn to let go, things go
wrong so that you appreciate them
when they're right, you believe lies
so you eventually learn to trust no one but yourself, and sometimes
good things fall apart so better
things can fall together.
 
to hell

tena unaenda kuwa mkaa wa kuchemshia makande

unataka kujiua kwa ajili ya m***o, plz be serious wewe msichana.

out of curiosity: ukijiua do you go to heaven/hell maana dini yangu inaniambia kujiua ni dhambi kubwa? anayejua anaweza kunifahamisha please
 
Kujiua ni suluhisho la kudumu kwa tatizo la muda mfupi tu, napendekeza uhame nyumba.
 
mchumba ako anataka ufe, kufa ili afanye party hapo Ngarenaro!
 
Wacha bana....hivyo.eeeh.....

Well.....pole sana shosti......hivi maisha yalivyo matamu namna hii.....raha zote hizi za dunia......umefikia kuwaza kunywa sumu.......uwiiiii.....God forbid......toa kabisa hayo mawazo.......huyo sio mwisho wa maisha yako.......tupa kule.....hama hapo..........
Vuta ngoma mpya.......simple........

Nadhani tumuulize ni mapenzi gani hayo ambayo sasa ameyakosa mpaka anafikiria kujiua !! baada ya hapo ndio tumpe ushauri wa kweli. Mapenzi ambayo inaonyesha anafikiria mwenzie anayafaidi kama alivyokuwa anafaidi yeye awali na huyo mwenzie pengine hajali ingawa anajua huyo jamaa yake alikuwa na mtu mwingine anayemfahamu.
 
Kwanza pole mamii!!!.

Naomba usome hapa kwa umakini Mkubwa sana Mtoto jack 1.

Kwanza nikusihi kwamba hakuna haja ya kujiua kwa sababu tu huyo jama amekuacha,ama amemchukua jirani yako.Hebu fikiria ukifa utakuwa umemsaidia nani,je utakuwa umepata suluhisho la tatizo lako?,je huyo mchumba wako utakuwa umempa funzo gani,Jibu katika hayo yote ni hapana!!!!!.

Pili nakuomba uhame hapo na ukaishi ehemu nyingine,halafu ukae chini ufikirie nini chanzo cha huyo mchumba wako kuamua kukuacha na kumchukua jirani yako tena yawezekana alikuwa ni shiga yako!,ukishabaini kosa lililosababisha uachwe ulirekebishe vinginevyo utaendelea kuachwa usipolitambua tatizo.

Tatu,wewe hukuwa chaguo la huyo bwana wala wewe hukuwa chaguo lake,amini kwamba chaguo lako lipo na utalipata siku si nyingi lakini kama utakuwa umejifunza na kujua wapi ulipokosea,Wasukuma kama sisi tunasema Everything done in this world,done by hope,so hata wewe jipe moyo kuna siku yako inakuja ambapo machozi yako yatfutwa tena huyo jama atakufuta na yawezekana yeye ndiye akajiua!.

Wakati fulani wakati nikiwa katika matatizo mazito sana katika maisha yangu na kujikuta nikiwaza kitu kama hicho ulichokiwaza nilishauriwa na rafiki yangu mmoja kwa maneno yafuatayo:Think possitive & and thing will go right.am sure that this will help u create a possitive change in ur life.This concrete work on self esteem and success will help u learn how t break the worry habit,get other people to like u,avoid "the jitters" in ur daily work,bealive in ur self & everything u do,develope the power to reach ur goals,and so much more,remember to respect everyone,dont forget when bad things hapen to u God is big enough to handle ur questions and strong enough to deliver u from pain and doubt.

Naomba nimalizie kwa ushauri huu ambao uliwahi kutolewa na Babu mmoja wa kisukuma baada ya kujikuta amefikishwa sehemu moja inaitwa GAMBOSHI ambapo waliamua kumuachia kwa sababu baada ya kuyasema maeneno haya hakusema lolote,Silent lips may avoid many problem but smiling lips may solve many problems.So kwako pia nakwambia hivi,Always have a smile on ur face in this beatful jorney called life my dear.

Kama unahitaji ushauri zaidi unaweza ukani-PM.
 
I believe that everything happens
for a reason. People change so that
you can learn to let go, things go
wrong so that you appreciate them
when they're right, you believe lies
so you eventually learn to trust no one but yourself, and sometimes
good things fall apart so better
things can fall together.

Hahah bro iyo haisaidii..mpe ukweli...ameachwa koz mshkaji kamuona mzuri kuliko yeye.
 
...kama bado hujanywa sumu njoo kwangu bibie. Nikupetipeti, nikupe raha za dunia...utatamani kuishi mpaka kiama.Usikimbile huko "peponi" maana hata ukichelewa panakusubiri tu....ila hapa duniani hutaarudi tena.Ila kama unadhani kuwa ulizaliwa kwa ajili yake, jinywee tu hiyo sumu.
 
oi! Hilo ni jambo la kumshukuru Mungu upo na uhai hadi mida hii na tena 2pa kule ishishi maisha yako fanya yale yaliyo sahihi nani amekudanganya ulizaliwa kwa ajili ya mtu fulani hapa duniani......tena ikibidi mpe time yake chukua time yako yeye mwenyewe atajiongeza mda kifika kuwa aliacha gold akakimbilia mawe tena mawe ya kutu..... Mapenzi ndo yalivyo jaribu kuyaona maisha ni zaidi ya hapo ulipofikia kuna level zaidi na zaidi ambazo unapaswa uzivuke soon so dont stack on one level

kati ya best advice dadangu mie siongozi neno mana ushaur huu uliopewa mujarab ufuate nakuomba
 
Shukuru kwamba umejua kungali asubuhi, wewe inuka, jipanguse vumbi, chapa mwendo.. Hakuna kinachowaunganisha hapo. Kunywa sumu si suluhisho, suluhisho ni kutatua tatizo. Hama hiyo nyumba na jaribu kumsahau huyo jamaa. Jiunge na interest groups e.g gym, yoga etc..
 
huyo alikuwa wa analogia, achana naye utapata wa digitaly. coz inaonekana huyo unayemwita mchumba alikuwa na huyo mpangaji suiku nyik\ngi,, ila mwaka huu wameamua kuwa wazi baada ya yeye kupata alichokuwa anakihitaji toka kwako. all the best on getting your new steps alone... on the way to meet a lonely heart that will fit on you.
 
Pole sana dadangu coz ndio mapenzi yalivyo lakini ni sisi wenyewe ndio tumeyaharibu kwa tamaa zetu cha kukushauri tu ni kwamba muombe Mungu sana juu ya suala lako hilo akupe uvumilivu na hekima na busara kabla ya kuchukua maamuzi yeyote coz ukiongelea swala la sumu ndio utampa nguvu shetani aendelee kukuharibu akili yako, tulia kwanza huku ukiendelea kumwomba Mungu akupe mume mwema coz kama ni huyo atarudi tu mwenyewe na kama hajarudi basi ujue sio mpango wa Mungu wewe kuolewa nae my dear, kemea kabisa nguvu za shetani za kunywa sumu, pole sana baby girl, KEEP ON PRAYING GOD IS WITH YOU ALWAYS.
 
kwanza hama iyo nyumba. utapata tu mtu mwingine ,huyo jamaa wala hakuwa mtu mzuri
wanaume wapo wa kumwaga duniani huku ,wewe tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom