Natamani hata kunywa sumu, mapenzi jamani...

Natamani hata kunywa sumu, mapenzi jamani...

Wewe mtoto sisi tunaomba tuishi miaka kama ya kobe, wewe unataka kukatisha maisha yako. Maisha matamu wewe, kwani huyo jamaa umezaliwa nae; mbona tupo wengi tu. Hebu nitwangie PM tuanze upya, next time ukija tena hapa Mwanza tukutane!.
 
Piga moyo konde na usonge mbele,kwani kuvunjika kwa mahusiano yenu sio mwisho wa maisha,mshukuru Mungu kakuonesha mapema aina ya mwanaume uliyekuwanae,mwanaume anashindwa kuvumilia hata mwezi mmoja hakufai. Waswahili wanasema pindi ukizaliwa unaambiwa wapo sio yupo kwa hiyo vumilia aliyekupangia Mungu bado hujakutana naye.
Ikiwezekana hama kwenye hiyo nyumba tafuta chumba kwingine.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
hakuna kuhama nawe leta mwingine hapo hapo, afu asithubutu kukushobokea tena
 
Wewe mtoto sisi tunaomba tuishi miaka kama ya kobe, wewe unataka kukatisha maisha yako. Maisha matamu wewe, kwani huyo jamaa umezaliwa nae; mbona tupo wengi tu. Hebu nitwangie PM tuanze upya, next time ukija tena hapa Mwanza tukutane!.


Aaaah......kumbe amekuja mpaka Mwanza halafu hajawaona watu kama nyie........!!!!.....inabidi kila anapoenda aweke thread kule chit chat Kama ilivyo ada.......huwezi jua bana.......
 
Aaaah......kumbe amekuja mpaka Mwanza halafu hajawaona watu kama nyie........!!!!.....inabidi kila anapoenda aweke thread kule chit chat Kama ilivyo ada.......huwezi jua bana.......
You are right on the money Preta, you never know. Anaweza akaja hapa Mwanza akakakutana na sisi wavuvi wa Sangara na akatu-mind vile vile. Kama ana mpango wa kuja tena huku kanda ya ziwa, please tufahamishane!.
 
Nani kakuambia kujiua ndiyo suluhisho.

Kwanza acha kuwa mbinafsi, una wazazi, siblings? je, upendo wao kwako huuoni na kuuthamini? sasa kuliko kujitoa maisha kwa kiumbe ulichokutana nacho ukubwani, kaa chini tulia na uachane na mawazo hayo mbaya. Usifanye maaamuzi ukiwa na hasira.

Hiyo ndo baadhi ya misukosuko ya mapenzi. Be strong bidada!!
 
Nani kakuambia kujiua ndiyo suluhisho.

Kwanza acha kuwa mbinafsi, una wazazi, siblings? je, upendo wao kwako huuoni na kuuthamini? sasa kuliko kujitoa maisha kwa kiumbe ulichokutana nacho ukubwani, kaa chini tulia na uachane na mawazo hayo mbaya. Usifanye maaamuzi ukiwa na hasira.

Hiyo ndo baadhi ya misukosuko ya mapenzi. Be strong bidada!!
Watu wanachezea uhai wakati sisi wengine hatutaki hata kulisikia neno Kifo!.
 
Wala isonywe sumi mwayaa, yatakwisha hayo. Ni mapito tu
 
Nakushauri kwa mapenzi mema kabisa kunywa sumu upumnzike kwa amani
unajua watu wengine wanachukua serious ndugu alafu akinywa akifa kuna nchi nyingine utafungwa for inciting suicide..sio fresh.
 
Kwani huyo mchumba wako anadushelele la chuma kana kwamba huwezi kupata mwingine yeye alishapata wake na hata hivo kaa ukijua inawezekana toka mwanzo mlikuwa mnashare na huyo jirani yako na walikuwa wanasubiria siku tu ukitoka wakamilishe mission sasa ila mwenzako akimwaga mboga wewe mwaga.................... Ila pole jipe moyo wanaume hawajaisha duniani na wote wanazo mb....
 
Badala ya Kumshukuru Mungu una mkufuru?Mshukuru Mungu kwa kila jambo, maybe amekuepusha na mambo mazito sana!Kwanza ww bado mdogo sana na hiyo ndiyo experience kwenye relations unapata kwahiyo songa mbele.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mimi ni msichana wa miaka 26, naishi arusha nilikua na mchuchumba wangu ambae tumedum nae kwa miaka 2 na kupanga mambo mengi ya kuoana wote tumepanga nyumba moja japo kila mmoja anakaa chumbani kwake dec nilisafiri kwenda likizo nyumbani mwanza nimerudi jan 10 nimekuta kaanzisha mahusiano na dada jirani tena tumepanga nae nyumba moja nifanyeje wana JF yaani wanapika na kupakua yule dada ananiwekee nyimbo za mafumbo. taarabu, mpaka nakosa ham ya kuishi nilipomtaka nimuulize mchumba wangu imekuaje maana hatukukosana kabisa hataki kupokea cm yangu ananisalimia tu basi nampenda sana jamani naumia nashindwa niongee na nani anisaidie mimi niende wp jaman haaa kwel dunia haina huruma

Labda alisikia ulikuwa na bwana Mwanza? na yeye akaona aendelee kuburudika wakati na wewe unaburudika kwenye ufukwe wa lake victoria na bwana Masanja..
 
Hama hapo...mwanaume si mmoja. Ukikaa hapo utazidi kuumia.

Kunywa sumu...mambo ya zamani bwana, usiache mtoto wa mwanamke mwenzio akutoe duniani kijinga...lol
 
Jamani Mapenzi yanatesa...lolz
Kwa hiyo umepanga kunywa sumu..ryte?
Hebu sikia wewe mwanamke..we live once and if you make the most of it just once is enough!
Hama hapa as soon as possible...chukua likizo...pumzika kidogo..
Jifunze kuwa Maisha yana changamoto..na ili uishi kubali kuzikabili changamoto
Otherwise get die or live trying.........................
 
unadhani ukijiua utakuwa umemkomoa???? Au umejikomoa mwenyewe kwa kukatisha maisha yako???? Yaani ukifa tu mwenzio ndo anamuoa kabisa hiyo mwanamke.

dawa ni 1. Hama kwenye hiyo nyumba
2. Chukulia kama ajali....... Wapotezee na vumilia hivyo vijembe
2. Tafuta mtu ajifanye bwana wako aje kushinda hapo kaeni angalieni moviiiiiiiiii(ukimpa kipapa shaurilo)
 
unampenda sana! Dada yangu amekuroga au ulitaka awe anafanya kwa siri? Kiukweli huyu jamaa yako amekusaidia sana maana amekuwa muwazi; usijiue endelea na maisha yako mpendwa utapata mwingine
 
unadhani ukijiua utakuwa umemkomoa???? Au umejikomoa mwenyewe kwa kukatisha maisha yako???? Yaani ukifa tu mwenzio ndo anamuoa kabisa hiyo mwanamke.

dawa ni 1. Hama kwenye hiyo nyumba
2. Chukulia kama ajali....... Wapotezee na vumilia hivyo vijembe
2. Tafuta mtu ajifanye bwana wako aje kushinda hapo kaeni angalieni moviiiiiiiiii(ukimpa kipapa shaurilo)

ungemuambia ili asiombwe kipapa awe anavaa jeans ya chuma saa ya kuangalia movie na amhubirie saa za kissing scenes.
 
ni mapito tu.

Afu jack? Arusha? Mwanza? Kama nakujua vile, anyway.
 
unataka kujiua kwa ajili ya m***o, plz be serious wewe msichana.

out of curiosity: ukijiua do you go to heaven/hell maana dini yangu inaniambia kujiua ni dhambi kubwa? anayejua anaweza kunifahamisha please
 
Nilishasema mimi mapenzi ni kwa mababu zetu...sasa ndo nini hii.
Inaezekana hata walishaanzaga siku nyingi na nyimbo alikuwa ashaanza kupigia sema hukuwa unasikia.
Mamii...single is the new engaged...stress free zone!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom