Tutatoana Roho Yarabiii! Kwa hivi Vibuzi!!!!
Acha Usengery ukifa sasa si ndo unwaachia uhuru wa Kujinafasi?????? Embu hama hiyo nyumba mara moja na ujifunze Kupenda KIDIGITALI
"A wise girl kisses but doesn't love, listens but doesnt believe, and leaves before she is leftby Marlyin Monroe
mimi ni msichana wa miaka 26, naishi arusha nilikua na mchuchumba wangu ambae tumedum nae kwa miaka 2 mwache hakufai,
mimi ni msichana wa miaka 26, naishi arusha nilikua na mchuchumba wangu ambae tumedum nae kwa miaka 2 na kupanga mambo mengi ya kuoana wote tumepanga nyumba moja japo kila mmoja anakaa chumbani kwake dec nilisafiri kwenda likizo nyumbani mwanza nimerudi jan 10 nimekuta kaanzisha mahusiano na dada jirani tena tumepanga nae nyumba moja nifanyeje wana JF yaani wanapika na kupakua yule dada ananiwekee nyimbo za mafumbo. taarabu, mpaka nakosa ham ya kuishi nilipomtaka nimuulize mchumba wangu imekuaje maana hatukukosana kabisa hataki kupokea cm yangu ananisalimia tu basi nampenda sana jamani naumia nashindwa niongee na nani anisaidie mimi niende wp jaman haaa kwel dunia haina huruma
pole sana wanaume wa siku hizi pasua kichwa kweli
Tutatoana Roho Yarabiii! Kwa hivi Vibuzi!!!!
Acha Usengery ukifa sasa si ndo unwaachia uhuru wa Kujinafasi?????? Embu hama hiyo nyumba mara moja na ujifunze Kupenda KIDIGITALI
"A wise girl kisses but doesn't love, listens but doesnt believe, and leaves before she is left by Marlyin Monroe