Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,195
- 3,010
Hii kawaida tu. Vidole hivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa Fidel unajua ni rahisi sana kumvua chu.pi binti kilaza kuliko kipanga? Maana binti Kipanga lazima uwe umejipanga vizuri, vilogic vya kijinga lazima uaibike....hahahahahahaha
Mzee umeanza kuweka points, nimekugongea Thanks........nadhani unamchupa hapo wa Serengeti
Saizi nimeanza kupata fahamu maana jana ilikuwa balaa nilianza na Kesto nikahamia Safari nikajikita kwenye Valuer aliniletea Bwana harusi Geoff chumba 2 za Valuer akili mkichwa ilikuwa haifanyi kazi.
Tunako elekea sasa tutapata Rais mwanamke, siku hizi na akina mama wanaweza jamani, sio kila kitu mwanaume mpaka afanye.
Saizi nimeanza kupata fahamu maana jana ilikuwa balaa nilianza na Kesto nikahamia Safari nikajikita kwenye Valuer aliniletea Bwana harusi Geoff chumba 2 za Valuer akili mkichwa ilikuwa haifanyi kazi.
Tunako elekea sasa tutapata Rais mwanamke, siku hizi na akina mama wanaweza jamani, sio kila kitu mwanaume mpaka afanye.
Chukulia scenario mzee mzima ni kilaza! hahahahahaha
MH.... ulikua unachapa valeur mida ile?? umeweza kuwahi kazini?
Tena tunao wengi tu. subirini kidogo muone mambo yetu. na hii nchi itakuwa a better place to stay; yule nani aliyesema harudi TZ aanze kujipanga kurudi, maana tukianza kazi huwa tupo serious
Siku wakichange kifkira lazima wataenda mbele,tatizo wanawake hawapendani wao kwa wao sijui ndo wivu.Mkuu mimi huwa nawashangaa wanawake huwa wanabezana wao kwa wao na hii inawafanya wasiwe na umoja laiti kama wakisimama kidete wanaweza sana.
HAHAHA sophia Simba the best kilaza woman.I am Missing Iron Lady Sophia Simba!
Hongera sana Imakulata,hahaha Genes jamani hamna kuolewa na kilaza wala kuoa kilaza.mimi mwanangu huwa anasema lazima awe injinia wa AIRBUS hahaha.
Siku wakichange kifkira lazima wataenda mbele,tatizo wanawake hawapendani wao kwa wao sijui ndo wivu.
mimi ni mama JJJJJ.Mimi simo kwenye kundi la mawivuwivu yasiyo na maana.ndo maana nikasema wao.Mie nilidhani tukichange fikra mimi na wewe Mama 5J's.Kumbe wewe ni He?Sikujua.
Binti Kinara 'form 4' afichua siri
NB
Nimefurahishwa sana na huyu binti, amesifia wazazi wake walivyomlea. Baba Prof na mama Mhasibu, nimejifunza kitu lazima wanandoa waangalie background ya mwenza wake ili matunda ya ndoa yawe yana neema. Hongera sana Immaculata nakutakia mafanikio na ndoto yako ya kuwa Engineer kama kaka yako ifanikiwe. Ubarikiwe sana
mimi ni mama JJJJJ.Mimi simo kwenye kundi la mawivuwivu yasiyo na maana.ndo maana nikasema wao.