Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,556
- Thread starter
- #21
Hahahaha lakini ukweli mpwa utabakia kuwa ukweli
Mpwa hakuna logic hapo.......Sitaki kutaja majina hapa, kuna dada alikuwa chuma ile mbaya pale Muhimbili miaka ile.....Dada alitesa sana mzuri kila sehemu, na mwisho wa mwaka MD course akawa overall best student. Wakaka na Waalimu uchwara hawakuweza mpata maana alikuwa na kila kitu. Kuna dada mwingine Mganda alisoma SUA alikuwa kama Miss Universe kila sehemu hadi Kichwani.....waliishia wakwale kula kwa macho maana hata assignments watu walikuwa wanakopi kwake.......Sura haina mahusiano na kichwani
Kumbuka kuna wadada wabaya kila sehemu.......sura, kichwani weupe na kibaya zaidi hata roho zao mbaya!