Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Angalia kilicho cha maana kwenye hoja yake achana na mahali alipo Mkuu. Uhuru wa kutoa maoni ni muhimu sana
 
Ndugu mipaka kwenye uhuru wa kufikiri na kutoa maoni ni ukoloni Tu. Kwa nini uniwekee mipaka ya kufikiri na kukiishi ninachofikiri. Kama nimefikiri vibaya kwa kuwa uwezo wangu kikfikra ni mdogo chip In mwenye uwezo mkubwa weka fikra zako. Wengi watajifunxa kwa jinsi hiyo.
Tinawka mipaka kwenye uhuru inawezekana ni ujinga Tu wa kutokujua maana au kuwa na mtazamo tofauti kuhusu maana ya uhuru. Hayo yote yaweza tibiwa kwa kuwepo uhuru wa kufikiri
 
Naamini binadam yoyte Raia wa nchi mwenye akili tumamu anaweza kuwa rais mambo ya haiba peleka Bongo movies
 
Angalia kilicho cha maana kwenye hoja yake achana na mahali alipo Mkuu. Uhuru wa kutoa maoni ni muhimu sana
Mkuu mkiwa mmezaliwa watoto tisa nyumba moja,wanne wakawa wanaishi mbali na watano mnaishi na familia,walio mbali wakawa wanakuja na hoja za mmojawenu anayewaongoza mliyemchagua hafai wakati haishi humo,pengine tayari ana familia yake inabidi mumtilie shaka,mbaya zaidi hatoi suluhisho ni nani anafaa ila mijadala yake ni kuharibu tu.Hata mkifarakana haishi hapo tena.Mfatilie huyu jamaa,ni mojawapo ambao ni kama wapo nje lakini maisha yamewashinda,ya huko waliko yamewashinda na ya wanakotokea(asili) yamewashinda.Mtu anayesema raisi aachie ngazi kwa kejeli kibao bila kujua gharama na yanayoweza kutokea nchi ambayo hakai ni wa kupuuza kwa gharama yoyote.Ndo maana nimekupa mfano wakati Chadema wanaandaa UKUTA alikuwa anashinikiza watu waandamane waingie mtaani wapigwe tu na wajeda.Fatilia post zake kila anachosema ni kama matokeo ya matakwa yake yawe + au - yeye hana la kupoteza.Bado unaona ni mtu wa maana kumsikiliza?,mtu anayeishi hapa hapa kuna vitu hawezi andika wala kuongea kama anajua madhara yake.Hebu mfatilie thread zake hata tatu au nne halafu nipe jibu mkuu.
 
Umewahi kusikia kuhusu vita ya majimaji au unafikiri waliopigana hawakuwa na mwili na nyama ? Sisemi vita ni nzuri Bali nakukumbusha kuwa watu wengine wanapotaka kusongesha ajenda yao hawaogopi kile wewe unaogopa.
Kihusu ndigu yako aliye mbali akija na hoja kuhusu miongozi wenu wa familia jibu hoja yake na hrshimu exposure yake. Kama mmezaliwa katika ya msitu maisha na dunia yenu ni msitu kwa ukomo. Akija akitevuka msitu akikwambia uongoxi wa kimsitu ni mbovu jenga hoja kinzani dhidi yake usimfunge kinywa au kumpuuza puuza hoja kwa hoja
 

Great! Waste no time na wajinga wa US, Trump ndio Raisi huko. Nawajua wengi US na Uk ni wachovu kifweza. Kazi mbovu huko, wajinga wengi wanalipwa $8 kwa saa halafu ni kazi hasa masaa 12 na gharama za maisha ni kubwa. Wajinga wengi pande hizo wanashea apartments, yaani nyumba twaishi kama bwenini shule za boarding bongo.

Trump.
 
Bila shaka ID yako ni feki we MTU!

Unaposema uchochezi ni vile tu mtu unavyoamua kudefine issue! Na uhalisia wa kitu anaujua anayeleta mada wala si wewe kujidai unafahamu kila kitu na hivyo kukosoa kila mtu.

Anyways, jf siyo gazeti kwahiyo usitake kazi ya uhariri hapa.

Umesema aliyeleta habari za dangote alipotosha,,sawa! Je,hiyo habari ilianzia hapa jf?! Hakuna magazeti yaliyoandika habari hiyo hiyo? Au nayo yalikopi kutoka Jf?

Asiyetaka kuambiwa ukweli ni shetani.
 
mpaka sasa hivi ndiyo. Kwa sababu akiagiza jambo lazima mara zote ututaarifu wananchi yeye mwenyewe ama kupitia kurugenzi ya habari Ikulu.
Alipoweka zengwe kwa Lema alitangaza?!
 
Inawezekana kabisa wengi wetu humu tumeathirika na Viroba, kwa uchangiaji huuu sion staha na U great thinker zaidi ni Uhuni na Usela mavi au Kutafuta umaarufu wa vitu vya ovyo ovyo.
Unatafutaje umaarufu ilihali hakuna anayekujua? Can't you think?!

Hebu endelea kunywa gongo yako
 
Kosoa kwa lugha yenye heshima na adabu. Ukifanya hivyo ukosoaji wako utatiliwa maanani.
 
Kosoa kwa lugha yenye heshima na adabu. Ukifanya hivyo ukosoaji wako utatiliwa maanani.
 
Mimi sio Mwanasheria lakini sio zwazwa. Sheria na kifungu ulichonukuu kinaelezea kuwepo kwa shitaka au tuhuma lakini sio AFANDE aamke Tu na kumwagiza Max kuwa nataka utambulisho wa H1N1, Nyani Ngabu etc etc
atakuwa amesema kwenye barua waliyomwandikia max
 
Kwa Maana Ulimi nao ni kiungo, nacho kwa udogo kilijipatia sifa yake. Kwa maneno chawaweka watu pamoja kadhalika kwa maneno hayo hayo huwaweka watu mbali. Bali wewe upitato katika mapito yako, Basi uchunge sana Mdomo wako kuliko chochote ukichungacho.

Mfalme mjinga Hushindwa kuuona upepo, nao Watu wapumbavu hujishughulisha na Kazi za upepo wasio uona. Kaburi lilizikwa Aliyehai naye akafukiwa katika Shimo lenye Mchanga Mweupe, Waliolia walilia kwa ujinga Wang nao walioshangilia walishangilia kwa maovu yao.

Ikiwa Mtoto humwogopa Babaye, naye baba kwa Upotevu wa fikra zake huona fahari kwa mwanae kuwa na hofu basi ni kheri Mti uliopandwa jangwani kuliko Baba huyo.

Nchi hutoa mazao ya kila namna nayo huipendezesha Uso wake lakini kwa Waliiharibu nchi. Kwa dini zao za uwongo wakawanyonya Masikini wakijitia maneno matamu kuliko asali ili wapate kudhidhulumu nafsi changa.

Wasiwasi ndio akili nayo Staha ni kwa mwenye hekima. Je utamfanyia Staha Mpumbavu asikudharau? Hasha Usimjibu mpumbavu wala kuongea nae usije ukajitia katika Uchungu mkuu.

Mfalme mwenye hekima huipinga dhuluma, huitetea haki ya wanyonge naye hujilisha maarifa kwa kufuata sheria na hekima. Bali Mfalme mpumbavu nani Asiyemuogopa, Mfalme ajitakiaye mambo yake mwenyewe pasi na Mashauri ya Wazee.

Taifa la Watu wajinga hujilinganisha na Watu wa mataifa mengine. Hujisifia kwa wasiyokuwa nayo, nao hujidharau na kujiponda kwa yale walionayo. Hao ndio watu wajinga niliowaona katika Uvungu wa Jua.

Kilio kingi huuchosha mwili nacho huleta Kwiki itingishayo Mwili.

~Michaelray22
 
Sawa lakini mbele ya wakina Lubuva nk nk hata mshinde watamtangaza wanayetaka ili mradi wao matumbo yanapokea.

Sasa umenielewa. Tunapopiga kelele za uhuru wa habari, tufikirie kujenga upinzani imara wenye mkakati thabiti sivyo ilivyo sasa tunatawaliwa na mihemko
 

Kumbe unajijibu mwenyewe. Sababu hutaki kuambiwa ukweli basi jibu tayari unalo wewe ni nani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…