Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Kwani Dangote akihamishia kiwanda chake Kenya inajuzu nini? Maana vizabi zabina waliolianzisha na kulieneza suala hilo ni Wa Serekale wenyewe, sasa kwa nini wadandiaji waonekane wahalifu kuliko waanzilishi!!!
 
Wenye mawazo kama yako ni wale waliovurugwa!!! Upofu wa mapenzi labda na maslahi yanakufanya usione "the sword of damocles which lingers on our heads"
 
Je na wewe hiyo ID yako siyo feki?
Nyani haoni kundule...
Sijui shule huwa mnaenda kusomea kukatika vigodoro!!?
Soma bandiko kwa umakini ili uelewe. Natumia fake ID na ndio maana sijawahi kuhoji Uhalali wa utendaji wa Rais. Tofauti na baadhi ya Wazandiki humu JF.
 
Ukisoma posts kwenye uzi huu utaona jinsi gani tunaendeshwa na mihemko!
 
Mkuu...! Nimeiona hasira yako kwa Watanzania aina hii, nafikiri ni robo tu ya niliyo nayo mimi juu yao,sielewi ni kizazi cha aina gani hiki, mbaya zaidi hata wasomi kabisa kabisa kwa wingi tu na wao ni wa hivyo. Taifa linapotea mzee, tunahitaji solution ya haraka na endelevu. Thanks!
 
Mi nipo nje ya nchi siku nyingi. Ngoja nitafute maisha, nisubiri siku ya kiama changu
 
Ushindwe na ulegee na ikurudie hiyo laana, Nyumbu mkubwa wewe
 
Sio vichache anakosea hasa kutubagua watanzania WA ccm a Vyama vingine hili ni kosa namba moja analofanya....... Akiwa km raisi kila mkutano na matamko yake anaanza kuwasema wapinzani ili apigiwe makofi ndo anaendelea Sisi tunaJua yeye ndo kiongozi wa nji hii si wa ccm pekee. Hili kosa akiliacha nitaanza japo kusikiza matamko yake hayo
Sababu kwa sasa sisikilizi bora niangalie muvi za kina rufufu... Inanifanya NA mie ni mbague kuwa ccm wenyewe ndo wamsikilize raisi wao........ Mwambie nimesema
 
Baada ya kuambiwa hutadakwa sasa umeota mapembe nakuongeza mkia sio!? [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji110] [emoji110] [emoji110]
 
Nakubaliana na wewe,jk kamwacha mbali mapema sana,yani kafunika madhaifu yote ya jk saa hizi watu ni yeye na ukimwona mtu anamwongelea vizuri huyu basi ujue hamnazo kichwani mwake
 
Haha hawezi kusoma NA kucheka bahati muzuri kagonga mwamba
 
HAYA UMESIKIKA KALALE SASA
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…